JF
Tusiweke punda nyuma ya Mzigo hautaondoka! Kwanza hawajatengeneza kanuni, tume haina Hadidu za rejea. Hata ukamilifu wake bado lakini LUkuvi anakimbilia kuagiza Magari. Kwa ujinga wangu nashauri tune itumie public transport, Usafiri wa kawaida ili waweze kuchukua mawazo ya watu hata kwenye mijadala ndani ya daladala.
Tatizo ni kwamba kuna wajumbe wa tume ambao hata kutembea ni tabu. Huu utamaduni wa kununua Magari uko kwenye damu ya Watanzania . Look at the huge number of DFP vehicles on the road.
Pesa nyingi zinatumika kwenye Magari rejea taarifa ya CAG. Magari yanakula sehemu kubwa sana ya pato la Watz right from the family level. This is the problem.
Tungeimarsha mfumo wa Usafiri wa Reli, anga na hata mabasi hakuna haja ya Kila mtu/ mradi kununua gari. Tutoke hapo!
Charity begins at home siku moja toka nje uaangalie ukubwa wa msafara Rais Kiwete unakuwa msururu Magari yasiyopungua thelathini. Hayo Magari wanatakiwa Kila mjumbe na gari lake this is more than crazy!