walipokuwa wanaahidi walidhani kwamba mgomo wa madereva hautajirudia tena. yaan sasa wameumbuka. Maana sioni hata basi la jeshi ambalo linasafirisha abiria kama daladala.
wapi na wapi kutumia jeshi kila mgomo! ma dr wagome jeshi, wapiga debe wagome jeshi, madereva wagome jeshi, wakina mamam wagome home jeshi, Jeshi nalo linajidhalilisha!!!!