Magaidi kweli wanaleta hofu yani uwoga umeniingia hadi sasa hivi naishi kama nyokao

Wasomali hapo mbeleni walikuwa wanashabikia sana haya mashambuliz ya Alshabab Nairobi. Lakini wamekuja kuwa wahanga wakubwa sana wa Alshabab na lile tukio kubwa liloua watu karibu 1000 mogadishu liliwashtua sana hata Alshabaab wenyewe waliogopa kusema walihusika

Sio kweli wasomali popote duniani wanawalaani Hawa wadudu alshababu
Kwa maana kuu tatu

I wameharibu sifa na ustaarabu was wasomali duniani Leo mm hata Somalia sipajui lakini naitwa gaidi

2 Leo wasomali waliopo Somalia kusini adhabu wanayopata kutoka kwa wanyama hao haielezeki

3 wageni wanawarubuni vijanaa wajiunge na kundi hili sio wasomali

Inaumaa kuhusishwa na uuaji huu was kinyamaa

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]Dah oriah pole
 
Ngoja nicheke kwanza!
Mzuqa wanaJamvi,
Nikiangalia footage za CCTV za mashambulizi za magaidi wa Alshabaab Nairobi nashikwa nauwoga mkubwa sana.
Binadamu kila kukicha tunakuwa makatili. Napiga picha je ningekuwa kweye lile eneo hata ningepona ila iyo trauma ingedumu.
Tusidhani hayajatukuta huwez juwa situeshen kama hii ya kuogofya inaweza kukuta popote tu kanisani msikitini sokoni stendi ya basi yani magaidi yana masterplan ya kushtukiza na kuwafanya muwe confused na kuua kikatili. Ogopa sana mtu ambaye haogopi kufa ana cha kupoteza.
Sasa hivi naishi kama nyoka kuna msemo wa kiingereza cautious like a snake nachukua tahadhari sana.
Napotembea napoingia kwenye bus, treni ama kwenye mkusanyiko wa watu na chunguza sana nyendo za watu na saikolojia. Nikiona mtu anabehave in afunny way ni kutimua mbio tu.
Pia kwenye begi langu nina kibaragashia na marker pen nyeusi tuseme wavamie treni ama basi faster nachomoa kibarashia halafu najichora alama nyeusi pajini nakuifuta niwe na sigdah ili wakianza kutusort out wataniona mimi mmoja wao.
Never take anything for granted concerning personal safety.
Tahadhari muhimu ila kikubwa kuliko yote ni kumuomba Mungu tu akuepushe kwenye matukio ya kigaidi..
Its really terrifying
Mungu awabariki wahanga na pia awabariki wakenya nawasomali huko Mogadishu ambao pia kila siku wanauawawa kwa makumi na haya magaidi
 
Mkuu unahofia nini Tanzania yetu ni nchi yenye amani najivunia kuwa kwenye mikono salama hayo mambo ya Al-shabaab yanatokea wapi na wakati mungu yupo atulindaye kila uchao
 
Back
Top Bottom