Mafundi naomba mnisaidie majibu kwa maswali yangu haya

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,751
3,380
Hapa naomba ieleweke ninamaanisha mafundi wa fani zote yani kushona, plumbing, visima, mapambo, umeme, selemara, rangi, ujenzi, bati n.k

Kuna ugumu gani kufanya kazi yako kwa uaminifu bila kuleta janjajanja? yani unapungukiwa nini ukifanya kazi yako kwa uaminifu pasipo kumuibia au kulazimika kumdanganya/kumuongopea boss anayekupa kazi?

Je ni lazima umuibie au kumuongopea boss?

Unajisikiaje ukishindwa kumuibia au kumuongopea boss?

Usipomuibia au kumuongopea boss unapoteza nini?

Maeneo gani maboss wanazingua na kukulazimisha kumuibia au kumdanganya.

NB: Lengo la uzi sio kumdhalilisha au kumtweza yoyote, ila ni sehemu ya wote yani mafundi na maboss kutoka na "kitu" kusaidia kuboresha mahusiano ktk kazi.
 
Hapa naomba ieleweke ninamaanisha mafundi wa fani zote yani kushona, plumbing, visima, mapambo, umeme, selemara, rangi, ujenzi, bati n.k

Kuna ugumu gani kufanya kazi yako kwa uaminifu bila kuleta janjajanja? yani unapungukiwa nini ukifanya kazi yako kwa uaminifu pasipo kumuibia au kulazimika kumdanganya/kumuongopea boss anayekupa kazi?

Je ni lazima umuibie au kumuongopea boss?

Unajisikiaje ukishindwa kumuibia au kumuongopea boss?

Usipomuibia au kumuongopea boss unapoteza nini?

Maeneo gani maboss wanazingua na kukulazimisha kumuibia au kumdanganya.

NB: Lengo la uzi sio kumdhalilisha yoyote, ila ni sehemu ya wote yani mafundi na maboss kutoka "kitu" kusaidia kuboresha mahusiano ktk kazi.
Mafundi Nguo na Seremala ni kama wana laana ya ubabaishaji...wengi matapeli sijajua kwanini na mimi nasubiri comments zao.
 
Kudanganya Kuna weza kusababishwa na mambo mengi sana,

Moja uhitaji wakazi wakati ume banwa na majukumu mengine,

Mbili, inaweza kuwa tamaa,ya fundi usika kutaka Kila kazi afanye yeye

Tatu tabia usika ya mtu au fundi.

Nne kada ya mafundi haiheshimiki ipasavyo wanaonekana ni watu WA njaa tuuu

Sababu zote hizo Zina weza kuwa chachu ya kudanganya. Ikumbukwe kuwa fani za ufundi hasa ambao hawana kazi za kuamikina, na hakika nilazima wahakikishe kesho Ana fanya nini hivyo basi ni ngumu kwake kukataa kazi mpya wakati akiwa na kazi nyingine.

Sababu za janja janja ni maswala mazima ya maslahi, mafundi kwakweli maslahi Yao ni madogo sana hii ni sababu moja fundi kufikiri Namna ya kupata extra money kutoka kwenye kazi anayo fanya.
Mfano. Unaweza kuta boss unataka ufanyiwe kazi ambayo material tuu yame gahrimu zaidi ya million Tatu Lakin fundi akikwambia nilipe laki tano unagoma unaona nipesa nying sana,
Boss naona hapo pesa sahihi ni kama laki Mbili au moja na nusu. Fundi ukigoma anatafutwa mwngine, na Kwa hofu ya kukosa pesa unalazimika kufanya ili uambulie chochote Familia iishi
Pia ikumbukwe Kuna mafundi wanao heshimu taaluma Yao na Kuna vishoka Hawa vishoka Mala nyingi sio Mala zote ni wale mafundi WA kuunga Unga ya wasio thibitishwa, kwaiyo fund kama huyu hawezi kukataa kazi.
Mabos Pia kuwa wabahili ni swala linalo pelekea Kwa kiasi kikubwa sana mafund kuto kuwa waaminifu,
Mfano boss anakuita unaenda site unakagua una andika mahitaji yote na gharama zako Tena site ume fika Kwa nauli yako. Kisha Ana nunua mahitaji Yale yote uliyo andika Lakin fund anatafutwa mwngine ambae pesa itakuwa chini ya wewe ulio weka.


Mwanzo nilipo ingia kwenye ufundi nilikuwa na fanya kazi Kwa presha ingawa nilikuwa yatari kufanya kazi Kwa malipo ya chini, sababu,
Moja ili nipate pesa, Mbili sikuwa na hakika ya kupata kazi nyingine baada ya hiyo, jambo lililo fanya nifanye kazi Kwa kudhurumiwa sana, baadae nikatafuta njia nyingine ya kipato changu, nikawa sifanyi kazi Kwa presha, nasimama kwenye misingi imara nikikwambia hii kazi na fanya Kwa elf 50 ni hivyo siogopi kupoteza kazi kama Mwanzo, na fanya kazi Kwa uaminifu na inakamilika Kwa wakati,

Na wakilisha mafundi Bomba wote wanao heshima taaluma zao na waaminifu
 
Je ni lazima umuibie au kumuongopea boss?

Unajisikiaje ukishindwa kumuibia au kumuongopea boss?

Usipomuibia au kumuongopea boss unapoteza nini?
Watanzania kwa jumla tumeaminishwa kuwa bila wizi au ujanja janja hatutoboi.

Mtu unapata ajira bandari wazazi wanasherehekea na unahamasishwa kabisa kuwa usikae kizembe, piga hela huko.

JPM hakuacha kulipa wafanyakazi mishahara ila kutwa walikuwa wanalalamika anabana anabana. Ukiuliza anabana nini, wanajiuma uma.

Hii tabia ya wizi ipo damuni kwa watanzania na inahamasishwa kuanzia nyumbani, ndio sababu ya kupata mawaziri weziwezi.
 
Hapa naomba ieleweke ninamaanisha mafundi wa fani zote yani kushona, plumbing, visima, mapambo, umeme, selemara, rangi, ujenzi, bati n.k

Kuna ugumu gani kufanya kazi yako kwa uaminifu bila kuleta janjajanja? yani unapungukiwa nini ukifanya kazi yako kwa uaminifu pasipo kumuibia au kulazimika kumdanganya/kumuongopea boss anayekupa kazi?

Je ni lazima umuibie au kumuongopea boss?

Unajisikiaje ukishindwa kumuibia au kumuongopea boss?

Usipomuibia au kumuongopea boss unapoteza nini?

Maeneo gani maboss wanazingua na kukulazimisha kumuibia au kumdanganya.

NB: Lengo la uzi sio kumdhalilisha au kumtweza yoyote, ila ni sehemu ya wote yani mafundi na maboss kutoka na "kitu" kusaidia kuboresha mahusiano ktk kazi.
Tengeneza urafiki na fundi mkuu utakuja nishukuru,

Samahani kwa mfano usiosahihi lkn fundi ni kama demu unavyomjali ndiyo anakuwa mrahisi kwako hata fundi hivyohivyo

Kuwa na fundi mmoja msaidie anapokuwa na shida, akiacha kazi usimkoromee muulize kwa upole shida nn hata kama ushampa pesa yote mtatulie shida alokuwa nayo hizo hela utamkata kidogo kwenye kazi zijazo

NB. Kuchagua fundi ni sawa na kuchumbia, chagua fundi mzuri
 
Umaskini na tabia orijino za kibongo,akipatikana fundi muaminifu anapata mteja tapeli. Mteja muaminifu anapata fundi tapeli
 
Kudanganya Kuna weza kusababishwa na mambo mengi sana,

Moja uhitaji wakazi wakati ume banwa na majukumu mengine,

Mbili, inaweza kuwa tamaa,ya fundi usika kutaka Kila kazi afanye yeye

Tatu tabia usika ya mtu au fundi.

Nne kada ya mafundi haiheshimiki ipasavyo wanaonekana ni watu WA njaa tuuu

Sababu zote hizo Zina weza kuwa chachu ya kudanganya. Ikumbukwe kuwa fani za ufundi hasa ambao hawana kazi za kuamikina, na hakika nilazima wahakikishe kesho Ana fanya nini hivyo basi ni ngumu kwake kukataa kazi mpya wakati akiwa na kazi nyingine.

Sababu za janja janja ni maswala mazima ya maslahi, mafundi kwakweli maslahi Yao ni madogo sana hii ni sababu moja fundi kufikiri Namna ya kupata extra money kutoka kwenye kazi anayo fanya.
Mfano. Unaweza kuta boss unataka ufanyiwe kazi ambayo material tuu yame gahrimu zaidi ya million Tatu Lakin fundi akikwambia nilipe laki tano unagoma unaona nipesa nying sana,
Boss naona hapo pesa sahihi ni kama laki Mbili au moja na nusu. Fundi ukigoma anatafutwa mwngine, na Kwa hofu ya kukosa pesa unalazimika kufanya ili uambulie chochote Familia iishi
Pia ikumbukwe Kuna mafundi wanao heshimu taaluma Yao na Kuna vishoka Hawa vishoka Mala nyingi sio Mala zote ni wale mafundi WA kuunga Unga ya wasio thibitishwa, kwaiyo fund kama huyu hawezi kukataa kazi.
Mabos Pia kuwa wabahili ni swala linalo pelekea Kwa kiasi kikubwa sana mafund kuto kuwa waaminifu,
Mfano boss anakuita unaenda site unakagua una andika mahitaji yote na gharama zako Tena site ume fika Kwa nauli yako. Kisha Ana nunua mahitaji Yale yote uliyo andika Lakin fund anatafutwa mwngine ambae pesa itakuwa chini ya wewe ulio weka.


Mwanzo nilipo ingia kwenye ufundi nilikuwa na fanya kazi Kwa presha ingawa nilikuwa yatari kufanya kazi Kwa malipo ya chini, sababu,
Moja ili nipate pesa, Mbili sikuwa na hakika ya kupata kazi nyingine baada ya hiyo, jambo lililo fanya nifanye kazi Kwa kudhurumiwa sana, baadae nikatafuta njia nyingine ya kipato changu, nikawa sifanyi kazi Kwa presha, nasimama kwenye misingi imara nikikwambia hii kazi na fanya Kwa elf 50 ni hivyo siogopi kupoteza kazi kama Mwanzo, na fanya kazi Kwa uaminifu na inakamilika Kwa wakati,

Na wakilisha mafundi Bomba wote wanao heshima taaluma zao na waaminifu
umesema vizuri mkuu
 
Watanzania kwa jumla tumeaminishwa kuwa bila wizi au ujanja janja hatutoboi.

Mtu unapata ajira bandari wazazi wanasherehekea na unahamasishwa kabisa kuwa usikae kizembe, piga hela huko.

JPM hakuacha kulipa wafanyakazi mishahara ila kutwa walikuwa wanalalamika anabana anabana. Ukiuliza anabana nini, wanajiuma uma.

Hii tabia ya wizi ipo damuni kwa watanzania na inahamasishwa kuanzia nyumbani, ndio sababu ya kupata mawaziri weziwezi.
Uko sahihi kabisa. Mimi nadhani kipindi cha ujamaa na kuwa na mashirika ya umma kilifanya watu wajifunze wizi kwa sababu hakukuwa na mwangalizi wa mali. Pia kuadimika kwa bidhaa kulifanya watu, hasa wafanya wafanyabiashara kujifunza upigaji. Na pia kipindi hiki tulijizoesha uvivu kwa sababu hakukuwa na shinikizo lolote la kufanya kazi kwa bidii hasa serikalini. Huu umekuwa ndiyo utamaduni wetu sasa. Nchi inaangamizwa na wizi na uvivu na uzembe.
 
Back
Top Bottom