Inasikitisha kuwahimiza wapiganaji SELELI na SHELUKINDO, waingie chadema. Hata wakiingia chadema ni sawasawa wameruka mkojo wamekanyaga mavi, sii hoja kupiga kelele bungeni wakati kwenye majimbo yao wananchi hawawataki. Hakuna maendeleo yeyote walio leta zaidi ya kutafuta mtaji wa kisiasasa na kujitafutia umaarufu ili wananchi wawaonee huruma yakurudi majimboni, hizo nizilikua kelele tuu. Hata viongozi wa chadema ni mafisadi tuu, ufisadi upo kuanzia kwenye ukabila, mgao wa fedha za ruzukuu kwenye majimbo zote huliwa na FREEMAN MBOWE na DR.SLAA huku wengine wakisingizia wamekikopesha chama. Tatizo la nchi zetu za africa ufisadi nikitu cha kawaida, hata wewe tukikukabidhi urais ni yaleyale. Halafu mmekalia majungu na unafiki ya kusema watu wengine, kila kitu EL na RA!!! Mbona hamuwataji kina nyangumi??? Nchi hii inawenyewe na wananchi ndio wapiga kura na kuhusu MWAKYEMBE hii ni nchi ya amani, hakuna mtu atakayemuondoa mwenzake na wala hakuna aliyemkosakosa, huo ni ulikua unafiki wake wakujitafutia umaarufu na wapumbavu wakaamini.