Mafanikio nini? Soma hapa

Mafanikio nini? Soma hapa

Wakusolve

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
438
Reaction score
609
Mafanikio sio kuwa na fedha na mali pekee

Mafanikio pia ni kuwa na amani ya moyo

Mafanikio pia ni kubadilisha jamii kifikra, mawazo, kiimani.

Mafanikio pia ni kuleta mabadiliko chanya katika jamii

Mafanikio pia ni kuwa na familia bora na yenye amani.

Mafanikio pia ni kuwa mtu chanya katika jamii(positive people).

Mafanikio pia ni kukua kiimani, kiakili na kihisia.
 
Back
Top Bottom