Wakusolve
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 438
- 609
Mafanikio sio kuwa na fedha na mali pekee
Mafanikio pia ni kuwa na amani ya moyo
Mafanikio pia ni kubadilisha jamii kifikra, mawazo, kiimani.
Mafanikio pia ni kuleta mabadiliko chanya katika jamii
Mafanikio pia ni kuwa na familia bora na yenye amani.
Mafanikio pia ni kuwa mtu chanya katika jamii(positive people).
Mafanikio pia ni kukua kiimani, kiakili na kihisia.
Mafanikio pia ni kuwa na amani ya moyo
Mafanikio pia ni kubadilisha jamii kifikra, mawazo, kiimani.
Mafanikio pia ni kuleta mabadiliko chanya katika jamii
Mafanikio pia ni kuwa na familia bora na yenye amani.
Mafanikio pia ni kuwa mtu chanya katika jamii(positive people).
Mafanikio pia ni kukua kiimani, kiakili na kihisia.