sweet poison
Senior Member
- Aug 16, 2013
- 104
- 15
habari wandugu!! nimeona leo nioneshe maeneo ambayo yamekuwa ni kichaka cha machangudoa hapa mkoani moro.1.cocobeach kati kati ya mji,2.karibu na stend ya mkoa,yawezekana kuna maeneo mengine hatari zaidi naomba tujuzane ili mamlaka husika zichukue hatua.NB;Jadili mada usijadili mtu.