Maendeleo ni watu sio vitu

Maendeleo ni watu sio vitu

djcastlelite

Senior Member
Joined
Mar 8, 2014
Posts
159
Reaction score
21
Mwalimu alisema nchi yeyote ili ionekane imeendelea inatakiwa maendeleo yake yalenge zaidi watu kuliko vitu, sasa tanzania inakua kiuchumi lkn watu wake wanazidi kuwa masiki je?ndio kumeenzi mwalimu?
 
Back
Top Bottom