Tumekuwa tukipigiwa kelele sana na watawala wa CCM na vibaraka na machawa wao kuwa HAKI sio priority namba moja dhidi ya AMANI (yaani ukondoo).
Lakini Mungu January hii ameamua kutufumbua kwa kuruhusu uchungu, kuondolewa kwa nguvu madarakani kwa mpinga HAKI za kiraia Rais Maduro ili apelekwe mahakamani na Kunyimwa HAKI kwa wapenzi wa soka wa Tanzania dhidi ya Morocco.
Kwa Tanzania waliokuwa wanaona Amani (ukondoo) ni jambo la muhimu na sio HAKI kwanza wajifunza mengi.
Kwa yaliyotokea hapa kwetu, hakuna maridhiano yatafaa bila HAKI kwanza kutekelezwa.