Maduka yote Mwanza yafungwa

Maduka yote Mwanza yafungwa

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Kufuatia dakata la EFD kati ya wafanya biashara na TRA leo Mwanza maduka yote yamefungwa na police wanazunguka na vipaza sauti kuwasihi wafanyabiashara wafungue na kuahidi kuwalinda.
 
Back
Top Bottom