Maduka ya camera dar yako sehemu gani?

Skillseeker

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2012
Posts
225
Reaction score
34
Habari wanaJF,
Natafuta camera yenye at least 30x optical zoom na 20mp. Iwe na rechargable battery.
Ni maduka gani kwa dar es salaam ambayo yanabei nzuri na camera nyingi ili iwe rahisi kuchagua?
 
Maduka yapo kariakoo au posta mpya. Tembelea hiyo mitaa miwili.
 
njoo hapa karikoo fire ...tupo karbia nch nzma
 
Pia Mlimani City,kuna Game,mengine yapo karibu na Nakumatt hapo hapo ndani Mlimani City shopping Mall
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…