Muhongo yupo bize na kuwadhihaki wananchi wa mtwara wakati haelewi madudu yaliyopo katika chuo kilicho chini ya wizara yake.
Kheri yako wewe uliyeleta mada hii hapa, wanafunzi wanapata sana tabu kile chuo. Muhongo wacha porojo kakisafishe kile chuo la sivyo itageuka kampuni muda si mrefu.