Niko mkoani Dodoma kama mjasiliamali wa kilimo ila kuna fursa mbili nimezichungulia.
1:Blue kopa: tani moja hap wanauza laki 1
2:Madini chuma(mawe haya yana naswa na sumaku)
Kwa yeyote ambay anafahamu soko la hizi bidhaa naomba mchango wako wa mawazo
Pia kma tunaweza fanya kaz pamoja unakaribisha