Najaribu kuitafakari hoja hii na ile kazi iliyomshinda RC wa Dasilama sipati picha.
Halafu huko maofisini - usipime. Mbona hakuna mume na mke huko lakini kazi inaendelea mdundo??
Halafu tena inakuwaje ni uovu na uasi ilhali watoto wanalipiwa ada, kodi ya chumba inapatikana na maisha yanaendelea?? Cjui kwa kweli.