Madhara ya DP World tusiyoyaona leo

Aisee nimeelewa na mtu na wanamna gani najibizana naye, kwahiyo kumbe Bakhressa, Mo etc kujenga misikiti kwenye maofisi yao kwako umeona ni kupandikiza uislamu? He he heeee itakuwa hujasafiri duniani ukaona viwanja vya ndege vina misikiti.

Wafanyakazi wa hayo makampuni uliyoyataja wanalazimishwa kufuata imani ya muajiri wao au?

Kwamba mkoloni alikuja afrika kwa jina la uwekezaji? Wewe kweli kilaza kiwango cha SGR na unasema ulihudhuria somo la historia darasa la saba?

Hofu inakuwasha wakija wawekezaji kutoka nchi za kiislamu tu ila wakija mashoga wenzako wa magharibi husemi kuwa wanakuja kueneza sera zenu za ushoga. Mipumbavu kama wewe itatuchelewwesha sana maendeleo. Wewe piga kelele ukichoka nenda kaliwe lakini kelele zako hazitafika popote.
 
Ukomo wa mkataba ni hoja ya jumla jumla inayoendelea kupotosha watu waliokwisha kupotoshwa sana kwenye hili suala la DP World.

Hauwezi kuuona ukomo wa muda kwenye mkataba MAMA uliopelekwa bungeni na bali utakwenda kuwepo katika hii mikataba ya kikazi inayokwenda kusainiwa baada ya huo mkuu kuwa umeshapitishwa bungeni.

Na huyo mwekezaji ni lazima ajisajili BRELA na hivyo moja kwa moja atajikuta akitumia sheria za kitanzania katika uendeshaji wa kibiashara atakazofanya kwa kuingia ubia na makampuni ya wazalendo.
 
You rank quasi my IQ with standard deviation of above 15.

You think in a way that proves that you are born of incest.

Ushoga ulipelekwa West toka Middle East kwa Waarabu basha wako unaowatetea. Kama wanajenga Misikiti humo kwanini wasijenge na Makanisa na Jamatini kama ilivyo vyuoni Chapels ili kusali na kuswali kuwe ni hiari na uhuru? Unafikiri brain ya Dr. Padre Kitima iliona umbali wa pua kama yako inavyoona! You are bleeding from your brain instead of your down! Baghosha!

You appear to be lunatic of the fact that the following Coy existed in colonial Afro:-

1. BNWACo - Donald McKenzie 1874.
2. IBEACo.
3. GEACo.
4. Sir. William MacKinnon 1st Baronet.

You are worthless being with pooped brain that can't decipher any details that colonial agents worked in troika system. You the nocturnal Owl.

As a nation we are losing our sovereignty to the horrible investor whose virtually 10% of his off-shore investments are litigated and contracts breached for lack of ROI, local content, royalty and contravention of the regional integrations's prospects. Mbuthi afo meku.

Surprisingly, you have chosen to be coffin in-lieu of boffin to team up with your fellow louse to fend Kleptocracts and oligarchs who prioritise state capture and lame-duck just for minority interest sake. Ng'ony wuoru/kibumbu kya thatha wenyu.

Your brain can solely juggle such technocratic matters in a Back-of-the-envelop operandi. Unaliwa tigo na Waarabu weye.

You the hermaphrodite is trying to castle thievocracy at the cost of the peril of schism of wananchi and rob them of their national commonwealth long achieved by sweat. Una jinsia mbili ka fisi weye.

Mummies like you will be flushed from our midst and kept in the museums for Artifact, Biofact and Ecofact, nyamafu mkubwa wewe usiyeliwa hata na fisi.

Swallow your pride when you present yourself before serious men.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
wazungu wanasema "opinion is like an a**hole everyone has one".
 
atuaminishe ujinga huu watu 60 m?
Ajabu sana! Nashangaa...

Kwanini hakuna uwazi 100%?
Sasa hivi baadhi ya viongozi wa chama eti nao wanaita mikutano kufafanua kilichotokea.

Hivi mtu km M'kiti yule wa wilaya ya Ilala ana maarifa gani ya masuala haya mpaka aje atoe ufafanuzi uwanjani?

1. Bunge liongee...
2. Wabunge waongee...
3. CCM kiongee...
4. Mitandao iongee...
5. Media ziongee...
6. Wasomi waongee...
7. Wapinzani waongee...
8. Wanaharakati waongee...
9. Viongozi wa Dini waongee...

Na wote hao 90% wanasisitiza mashaka yao...

Na kwanini basi hao wote wanaoongea wasingeshirikishwa awali kujadili mkataba au (hati ya makubaliano MoU) kabla ya kusainiwa?

So nani ana wajibu wa kusema kipi, lini, kwa vipi, kwa nani na nani wa kumtia hatiani huyo mwenye wajibu wa kusema endapo atathibitika amehatarisha maslahi ya taifa?


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
atuaminishe ujinga huu watu 60 m?
NKuona wewe akulinunazo lakini huzitumii vizuri au una chembe chenbe za ubaguzi.

Ikiwa mzungu (ambae mmemfanya mungu wenu) aliyetutawala kwa miaka 40 kawaona DP World wanafata kawapa bandari ya kwanza Southampton, wakagsnys vizuri sana akawaongeza bandari ya pili, mpya kabisa na ya kipeke, DP Worwanafanya maajabu huko. Itakuwa wewe tukusikikize?


Jipime, yna mapungufu, "Punguani wahed".


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Tupe na faida tusizoziona sasa.
 
Kila mtanzania akichangia elfu 2 tu tutapata pesa ya kutosha kuendeshea na kununulia mashine za kisasa kuweza kuendesha bandari yetu badala ya kuwauzia warabu milele.
Ingawa sisapoti mikataba isiyo na maslahi kwa Taifa, but kwa anaelewa bandarini kuna changamoto nying san kama humu mnafuatilia na kuingiza mizigo nchini kupitia bandari salama. Ukiritimba umekufuru pale, cha msingi serikali iingie mkataba weny maslahi mapana kwa Taifa. Then muwekezaji apige kaz ili tujiridhishe kwa huduma zao pale bandarini.
 
😁😁

Wewe hauwazi sawa sawa,

Nchi za ulaya na Magharibi, nyingi maliasili zao zilishagaisha na ama kupungua saana, zinaishi kwa upolaji

Zinavamia nchi zenye maliasili ili kuiba na kupeleka makwao na maisha yanaendelea, zinafanya hivyo kwa sababu zinauwezo wa kijeshi na siraha wanazo


Sasa wewe na nchi yako hii ukizitumia hovyo maliasili zako hizi na uwezo wako kijeshi ni mdogo, siraha huna, unataka wananchi tuishije?

Ungana na waungwana kupinga kubinafisishwa Bandari zetu Tanganyika

Maliasili ni urithi wetu
 
Wewe unaewaza vizuri "maliasiri" ndiyo mdudu gani?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…