Suala la ajar za barabarani kila mtu anahusika kwa namna yake kwanzia serikali, mamlaka huska hadi abiria., tatizo ni ubinafsi na tukiendela kuuendekeza utatumaliza
Ni kweli sheria hazifuatwi na ndio nasema mpwa sisi abiria tupige kelele nimeisha shuhudia abiria mmoja analalamika wengine wanamuunga mkono dereva hilo ni tatizo bila hivyo tutakufa na kuachwa vilema sana
Ni kweli sheria hazifuatwi na ndio nasema mpwa sisi abiria tupige kelele nimeisha shuhudia abiria mmoja analalamika wengine wanamuunga mkono dereva hilo ni tatizo bila hivyo tutakufa na kuachwa vilema sana
Hawa jamaa kwa kweli ukisafiri sali sana. Sisi tulimwambia driver punguza mwendo unakimbilia wapi? Akatujibu "nimeshindwa kupunguza mwendo" niliposikia hivyo niliomba kwa imani yangu nikamkabidhi Mola wangu kila kitu baada ya hapo nilisikia mlio wa ajali nikamshukuru Mungu sikujua tena kilichoendelea kumbe nilizimia. Jamani ajali muisikie tulioanguka na magari zaidi ya mara mbili ukisikia unaelewa ni nini kimewafika wahusika.