Madereva wa uber

Madereva wa uber

eddie255

Senior Member
Joined
Oct 30, 2017
Posts
104
Reaction score
53
Je unamiliki gari na umeangaika kupata madereva wa uber au wakawaida karibu tuweze kufanya biashara sisi ni association ya madereva ambayo inafanya kazi kwa weredi bila matatizo kwa mawasiliano 0715841834 asanteni
 
Weka wazi jina la association na mahali mnapopatikana, toa maelezo kamili. Au ndo wale wa lipia 10,000 ada ya usajili
 
Funguka vizuri mnafanyaje kazi, usitegemee kwa maelezo mafupi hayo kila mtu atakuelewa mkuu humu kuna watu wa aina tofauti tofauti.
 
Jina la association ni umoja drivers this association ni mpya ndio tupo kwenye kuunda association ya madereva ambayo tajir atakutana na mwenyekiti na kukubaliana baadhi ya vipengele ambapo association ndio itahusika kwenye kufatilia hesabu pamoja na mambo mengine yote ya usajili wa gari uber na wajibu wa dereva
 
Je unamiliki gari na umeangaika kupata madereva wa uber au wakawaida karibu tuweze kufanya biashara sisi ni association ya madereva ambayo inafanya kazi kwa weredi bila matatizo kwa mawasiliano 0715841834 asanteni

Niki hitaji kununua gari n kusajili kama Uber. Je faida zake zikoje?mdau
 
Kuna faida nyingi mfano Usalama wa gar yako ambapo utaweza kujua gari yako mahala ilipo pia kipato cha uhakika na ukiwa na malengo mazuri ndani ya miezi nane unaweza Pata gari nyingine kwa mawasiliano zaid 0715841834
 
Hv kweli ubar kwa siku unawza pata kuasi gani kama ukifanya kazi kuanzia saa kumi nanmoja asubuhi mpaka sa tatu na hapo uwe ushatoa pesa yao na pesa ya maguta?
 
My name is fadhili mohamedi in this dar es salaam I live at magomeni am driver of uber app and also I need to join of your association to improve my career now am jobless am looking for a car In oder to make some money I believe that to be honest to you for information you can contact with me
0654960981
 
JAMANI HII FAIDA KWANGU NA KWAKO PIAKAMA UNAGALI LOLOTE DOGO AMBALO LIPO KWENYE HALI INZURI KAMA , , SPACIO,CARINA, R, RACTIS, IST, VITS NKMIMI NI DEREVA WA UBER NAHITAJI TUANDIKISHANE MKATABA KWA WEEK NIKUPE 220000/= NIKUINGIZIE PESA NI MWAMINIFU KAMA UTAKUWA TAYARI BASI NITAFUTE KUPITIA
0654960981
ASANTEN
 
Ebu elezea vizuri mikataba yenu imekaaje. Note that lazima uelezee ukomo wa mkataba upoje
 
Back
Top Bottom