Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,280
Madereva wa daladala Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro wamesitisha kutoa huduma ya usafiri leo wakidai hawataki kuona bajaji katika maeneo yao.
Daladala zenye mgogoro na bajaji sio zote bali zinazofanya safari kati ya mjini na KCMC.
Chanzo cha mgogoro ni madai ya kwamba Bajaji wanaingia mpaka stendi ndani kitu ambacho daladala hawataki na mpaka sasa hivi bado wapo kwenye mazungumzo kutatua mgogoro huo
Daladala zenye mgogoro na bajaji sio zote bali zinazofanya safari kati ya mjini na KCMC.
Chanzo cha mgogoro ni madai ya kwamba Bajaji wanaingia mpaka stendi ndani kitu ambacho daladala hawataki na mpaka sasa hivi bado wapo kwenye mazungumzo kutatua mgogoro huo