Madeni ya mume aliyoyapata wakati wa ndoa, nayo hugawanywa wakiachana?

Mzingo

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
4,729
10,497
Wajuvi njooni mtujuze.

Je, Madeni ya mume aliyoyapata wakati wa ndoa, nayo hugawanywa wakiachana?
 
Kwa kifupi hizi sheria ambazo si mpango wa Mungu ndio chanzo cha migogoro mingi kwenye ndoa zetu na ustawi wa jamii. Siku hizi hakuna anayeoa, tunaoana. Unakaa ndani na mtu ambaye kinachowatofautisha ni maumbile tu na uwezo wa kufikiri...lakini aliyolishwa yanamtosha kuikataa jinsia yake.

Masuala ya mali yanafanyika kishabiki sana mahakamani. Madeni bwana utabebeshwa wewe kwenye begi
 
Madeni yatagawanywa proportionally kama mali nyingine during the distribution of matrimonial property!
 
Madeni yanahamishiwa kwa mtu aliyerithi mali za marehemu tu sio kwa wanaotalakiana. Ikiwa madeni hayo yalitokana na haja ya mwenza kwenye iliyokuwa ndoa, hiyo inaweza kuwa kesi tofauti kulingana na mambo yenyewe yalivyokuwa
 
Ha ha umenikumbusha wakati nasoma company na partnership (business units) moja ya feature ni limited and unlimited liability kwenye liquidation ,hapa kama asset zinagawanywa kihalali na madeni lazima yagawanwe kwasababu ya unlimited liability ya divorce
 
kwani mnatalakiana? ikiwa ni wanandoa acheni mambo kama churu yangu yangu yangu yangu isiyoisha hela yako niya mumeo ya mumeo ni yako hiyo ndo ile kwenye na raha nitakupenda
 
Kwa kifupi hizi sheria ambazo si mpango wa Mungu ndio chanzo cha migogoro mingi kwenye ndoa zetu na ustawi wa jamii. Siku hizi hakuna anayeoa, tunaoana. Unakaa ndani na mtu ambaye kinachowatofautisha ni maumbile tu na uwezo wa kufikiri...lakini aliyolishwa yanamtosha kuikataa jinsia yake.

Masuala ya mali yanafanyika kishabiki sana mahakamani. Madeni bwana utabebeshwa wewe kwenye begi
utabebeshwa kwenye begi
 
Back
Top Bottom