sasa naamini huu msemoHahahaaaaaaaaaa! Mtumzima Atishiwi Nyau!!!!!!!!!!!
Kujiangalia, kujikosehsa raha, kujistukia na kuwaona wengine ndo wanastahili kuvaa kitu falani ni umburulaaaaaaaaaaa!!!!!!
Kazi ya Mungu haina Makosa na Sikujiumba, so kama sikujaaliwa na Maulana basi nifanyaje? niwe mnyonge na kuwaona wengine ndo wanastahili zaidi? Thubutuuuuuuuuu!!!!!!!!!11
Navaa vizuri chochote nafsi yangu inachojisikia kuvaaaaaa! Kama unaona mwili wangu una kasoro wasiliana na Maulana umkosoe kwa kunipa vispoku na sio guu la bia!?? Kama huo uwezo unao? Kama huna kakojoe ulaleee eeeh mtoto mzuri!
Ukijiangalia Ulivyo huto vaa fashion yoyote, wala hutotoka ndani na watu watahakikisha wanaikali na kujigalagaza kwenye self esteem yako mpaka akili zitakapokurudi kuwa hao wenyewe hawana lolote!!!!!!!!
sasa naamini huu msemo
Madem wa dijitali ata kama ni mbaya ka mizengo pinda, atataka umsifie. .. Xaxa mwambie ukwel kama ye ni zombie, . Dadadadeq, nyapu yake utaiskia kwenye radio ..! Cha msingi kuwamwagia misifa ata kama ya uongo''!
sasa naamini huu msemo
Madem wa dijitali ata kama ni mbaya ka mizengo pinda, atataka umsifie. .. Xaxa mwambie ukwel kama ye ni zombie, . Dadadadeq, nyapu yake utaiskia kwenye radio ..! Cha msingi kuwamwagia misifa ata kama ya uongo''!
basi tusameheni bure jamani
?ahaaaa sasa nifanyeje hapasiku ya leo umekuwa mpole sana rafiki...
KWA WASICHANA MKICHUKIA SAWA TU:Mgongo" Umechanjwa chanjwa Kama
Mganga Wa Kienyeji Bado Unavaa Kinguo kinaacha mgongo wazi,Mguu" Umekomaa Kigimbi hicho Kama mcheza mpira wa miguu, "Eti nawe kimini kila siku",Kingereza" Kibovu, unajidai Kila sentensi kutupia 'Yes' 'No' 'I wish' 'May Be'. hahaha! Kumbe mburula tu,Ngozi" nyeusi tii, Na wewe unang'ang'ania tatoo. Jamani....Hivi mnatambua Kuwa nyie ambao mpo hivi mnatuchekesha Sana tunapowaona humu na huko Barabarani!??? yani hamjui tu mnavochekesha na laiti Kama mngekuwa mnajua sidhani Kama mngekuwa mnafanya hivi!!! Hahahaha!Mewaza tu jaman
Kwa Hisani ya watu Wamachame wakishrikiana na Lyamungo.