KWA WASICHANA MKICHUKIA SAWA TU:Mgongo" Umechanjwa chanjwa Kama
Mganga Wa Kienyeji Bado Unavaa Kinguo kinaacha mgongo wazi,Mguu" Umekomaa Kigimbi hicho Kama mcheza mpira wa miguu, "Eti nawe kimini kila siku",Kingereza" Kibovu, unajidai Kila sentensi kutupia 'Yes' 'No' 'I wish' 'May Be'. hahaha! Kumbe mburula tu,Ngozi" nyeusi tii, Na wewe unang'ang'ania tatoo. Jamani....Hivi mnatambua Kuwa nyie ambao mpo hivi mnatuchekesha Sana tunapowaona humu na huko Barabarani!??? yani hamjui tu mnavochekesha na laiti Kama mngekuwa mnajua sidhani Kama mngekuwa mnafanya hivi!!! Hahahaha!Mewaza tu jaman
Kwa Hisani ya watu Wamachame wakishrikiana na Lyamungo.
Mganga Wa Kienyeji Bado Unavaa Kinguo kinaacha mgongo wazi,Mguu" Umekomaa Kigimbi hicho Kama mcheza mpira wa miguu, "Eti nawe kimini kila siku",Kingereza" Kibovu, unajidai Kila sentensi kutupia 'Yes' 'No' 'I wish' 'May Be'. hahaha! Kumbe mburula tu,Ngozi" nyeusi tii, Na wewe unang'ang'ania tatoo. Jamani....Hivi mnatambua Kuwa nyie ambao mpo hivi mnatuchekesha Sana tunapowaona humu na huko Barabarani!??? yani hamjui tu mnavochekesha na laiti Kama mngekuwa mnajua sidhani Kama mngekuwa mnafanya hivi!!! Hahahaha!Mewaza tu jaman
Kwa Hisani ya watu Wamachame wakishrikiana na Lyamungo.