Nimemsikiliza vizuri Dr Harrison Mwakembe, ni mtu mkweli anaonekana machoni
Ila nimeshangaa tunakwenda wapi??wafanyabiashara wa madawa ya kolevya
wanapesa ndefu sana,ukifwatilia nchi mbalimbali utaona vituko mimi namwomba
sana asikurupuke na najua hatakurupuka maana kupoteza maisha ni dakika moja,,
nimeona baadhi ya mada watu wanamshitumu,hiyo siyo kazi rahisi ndugu,zanguni,
marehemu william Saitoti??wakati anapambana na madawa ya kolevya alisema
mawazo yangu ni mungu anajua,,na akapotelea angani ni biashara inafanywa na watu
wakubwa sana,DR,Mwakembe anasema aliwahi kufa akafufuka,,historia ya Dr Mwakembe
inaniogopesha sana maana naona maneno yake hayana tofauti na marehemu Saitoti
kitendo cha kuweza kutaja afsa usalama wa taifa na polisi ni ujasiri mkubwa ,,,hilo ni
jibu kuwa hawa wafanya biashara siyomchezo kuweza kununua usalama wa taifa?
Ni mwanzo mzuri na ni kazi ngumu,,ila cha muhimu achunguze mizizi yake ni minene
kiasi gani, ataweza kuiong'oa kusema kweli mwanaume hupaswi kuogopa maana kufa lazima tufe,,
Ila nimeshangaa tunakwenda wapi??wafanyabiashara wa madawa ya kolevya
wanapesa ndefu sana,ukifwatilia nchi mbalimbali utaona vituko mimi namwomba
sana asikurupuke na najua hatakurupuka maana kupoteza maisha ni dakika moja,,
nimeona baadhi ya mada watu wanamshitumu,hiyo siyo kazi rahisi ndugu,zanguni,
marehemu william Saitoti??wakati anapambana na madawa ya kolevya alisema
mawazo yangu ni mungu anajua,,na akapotelea angani ni biashara inafanywa na watu
wakubwa sana,DR,Mwakembe anasema aliwahi kufa akafufuka,,historia ya Dr Mwakembe
inaniogopesha sana maana naona maneno yake hayana tofauti na marehemu Saitoti
kitendo cha kuweza kutaja afsa usalama wa taifa na polisi ni ujasiri mkubwa ,,,hilo ni
jibu kuwa hawa wafanya biashara siyomchezo kuweza kununua usalama wa taifa?
Ni mwanzo mzuri na ni kazi ngumu,,ila cha muhimu achunguze mizizi yake ni minene
kiasi gani, ataweza kuiong'oa kusema kweli mwanaume hupaswi kuogopa maana kufa lazima tufe,,