Madawa ya Kulevya: Sasa Paul Makonda na Kamanda Sirro tunawapima kwa kumgusa Mtoto wa Rais na Daudi Kanyau

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
28,897
40,444
Habarini Mh. Paul Makonda & Sirro.

Kwanza kabisa nakupa Hongera za dhati kabisa kwa kujitoa kiujasiri waziwazi kutangaza vita dhidi ya wanunuaji, wauzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya (Mihadarati) hasa Unga (Heroin na Cocaine)

Pili napenda kuweka wazi kuwa kwakuwa ulitangaza mwenyewe kuwa kwa wale wanaowafahamu wauza sembe ndani na nje ya nchi wawataje au kuleta majina yao katika kituo cha polisi, mimi napenda kukukumbusha jambo ambalo naamini unalifahamu vizuri.

Hapahapa jamvini yupo mtu aliweka wazi kabisa jina la Daudi Kanyau, mahali anapoishi (nyuma ya Bamaga petrol station) na shemeji yake aitwaye Chale ambaye ndiye supplier mkubwa wa unga kwa vijana hasa wasanii.

Daudi Kanyau amekuwa mbeba unga (Punda) wa mtoto wa Rais mstaafu Mzee Alhadj Ali Hassan Mwinyi kwa miaka mingi na sasa yeye ameshakuwa maarufu sana na anatuma vijana wake.

Abas mwinyi alishawahi kuwatamkia vijana kuwa bado hajaona serikali ya kumbabaisha Tanzania na akakiri kuwa ana network kubwa ya watoto wengine wa viongozi wa juu. (Hayo akiyatamka akiwa nyuma ya Bamaga kwa mama sued)

Huyu mama sued naye ni kinara wa kuwaficha vijana watumiaji wa unga.

NOTE: Hayo yaliandikwa kwa ushahidi kabisa na mleta mada hapa na alisema yupo tayari kutoa ushahidi ilimradi ahakikishiwe usalama wake.

Ili tuamini kuwa Mh. Makonda na CP. Sirro mpo serious, fanyeni hivi :-

"SIRRO usihangaike kutuletea vimsokoto vya bangi vya wema sepetu vilivyokuwa chumbani tu, Pambana na hao wakubwa ili tukuamini.

Naamini huyu Abas Mwinyi pia ndiye anayemwagiza Omari yule wa Dubai kufanya connections za kuingiza madawa hapa nchini.

Ikiwa ni kweli, nashauri mkamateni Daudi Kanyau, Abas Mwinyi, Omari kisha wawataje hao vigogo wa serikali na watoto wao.

Moderators hapa hatujamtukana wala kumkosea heshima kiongozi yeyote.

Naomba msifute uzi huu.


NAWASILISHA.
 
Uzi wako ni mzuri sana lakini kuna watu watakuja kupinga na kuleta longo longo kwenye hii vita..........

Nashauri tuwakamate wote wauza dawa kuanzia hawa watoto wa mwinyi ndio mtandao unaanzia hapa (chain).........

Tuache kupepesa macho..........

Tukishindwa hawa mapapa bora RC arudi tu uko kupambana na Machinga na mashoga ndio size Yake.........

Rc mkamate uliyemfunga viatu tuone....
 
Habarini Mh. Paul Makonda & Sirro.

Kwanza kabisa nakupa Hongera za dhati kabisa kwa kujitoa kiujasiri waziwazi kutangaza vita dhidi ya wanunuaji, wauzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya (Mihadarati) hasa Unga (Heroin na Cocaine)

Pili napenda kuweka wazi kuwa kwakuwa ulitangaza mwenyewe kuwa kwa wale wanaowafahamu wauza sembe ndani na nje ya nchi wawataje au kuleta majina yao katika kituo cha polisi, mimi napenda kukukumbusha jambo ambalo naamini unalifahamu vizuri.

Hapahapa jamvini yupo mtu aliweka wazi kabisa jina la Daudi Kanyau, mahali anapoishi (nyuma ya Bamaga petrol station) na shemeji yake aitwaye Chale ambaye ndiye supplier mkubwa wa unga kwa vijana hasa wasanii.

Daudi Kanyau amekuwa mbeba unga (Punda) wa mtoto wa Rais mstaafu Mzee Alhadj Ali Hassan Mwinyi kwa miaka mingi na sasa yeye ameshakuwa maarufu sana na anatuma vijana wake.

Abas mwinyi alishawahi kuwatamkia vijana kuwa bado hajaona serikali ya kumbabaisha Tanzania na akakiri kuwa ana network kubwa ya watoto wengine wa viongozi wa juu. (Hayo akiyatamka akiwa nyuma ya Bamaga kwa mama sued)

Huyu mama sued naye ni kinara wa kuwaficha vijana watumiaji wa unga.

NOTE: Hayo yaliandikwa kwa ushahidi kabisa na mleta mada hapa na alisema yupo tayari kutoa ushahidi ilimradi ahakikishiwe usalama wake.

Ili tuamini kuwa Mh. Makonda na Sirro mpo serious, fanyeni hivi :-

"IGP usihangaike kutuletea vimsokoto vya bangi vya wema sepetu vikivyokuwa chumbani tu, Pambana na hao wakubwa ili tukuamini.

Naamini huyu Abas Mwinyi pia ndiye anayemwagiza Omari yule wa Dubai kufanya connections za kuingiza madawa hapa nchini.

Mkamateni Daudi Kanyau, Abas Ali Hassan Mwinyi, Omari kisha wawataje hao vigogo wa serikali na watoto wao.


NAWASILISHA.
Hapo kichwa kinauma
 
Uzi wako ni mzuri sana lakini kuna watu watakuja kupinga na kuleta longo longo kwenye hii vita..........

Nashauri tuwakamate wote wauza dawa kuanzia Ridhiwani ....

Tuache kupepesa macho..........

Tukishindwa hawa mapapa bora RC arudi tu uko kupambana na Machinga ,na mashoga ndio size Yake.........

Rc mkamate uliyemfunga viatu tuone....
Kwani huyo uliyemtaja anajihusisha na madawa ya kulevya jamani? tuache kuwahisi watu vibaya
 
Uzi wako ni mzuri sana lakini kuna watu watakuja kupinga na kuleta longo longo kwenye hii vita..........

Nashauri tuwakamate wote wauza dawa kuanzia Ridhiwani na hawa watoto wa mwinyi ndio mtandao unaanzia hapa (chain).........

Tuache kupepesa macho..........

Tukishindwa hawa mapapa bora RC arudi tu uko kupambana na Machinga ,na mashoga ndio size Yake.........

Rc mkamate uliyemfunga viatu tuone....
Sio siri mimi nilimshangaa sana IGP kuwatangazia watanzania kuwa

"amefanikiwa kukamata msokoto wa bangi kwa wema sepetu"

Msokoto wa bangi badala atuambie amepata channel ya watu kadhaa (Wakubwa) walioingiza kilograms kadhaa za dawa.

Ilihali yupo member wa JF alishafunguka kabisa kwa kuwataja majina.
Hapo kichwa kinauma
 
Kwani Ridhiwani anajihusisha na madawa ya kulevya jamani? tuache kutamka majina ya watu publically pasipo na ushahidi wa wazi.
Hilo sina uhakika nalo ila hao waliotajwa majina watafunguka zaidi kwa kuwataja wenzao.
 
"IGP usihangaike kutuletea vimsokoto vya bangi vya wema sepetu vikivyokuwa chumbani tu, Pambana na hao wakubwa ili tukuamini.
Hivi ni chombo gani kinaweza kuchunguza kwamba bangi inayosemekana imekutwa chumbani kwa Wema ni kweli imekutwa chumbani kwake? kwasababu niliwahi kusikia baadhi ya polisi wanaweza kukuwekea hata kichwa cha binaadamu nyumbani kwako kwamba ni cha kwako, najaribu kukumbuka wale polisi wa Morogoro.
 
Back
Top Bottom