Hivi huyu mzee Kwanini anaruhusiwa kuongea kwenye TV?
Huwa mpayukaji sana Mkinga huyu.
Hawezi kuongea taratibu?
Nafikiri swala la upayukaji tunaweza mvumilia. Maswala anayoongelea ni muhimu sana na ufafanuzi anaoutoa ni makini sana. Nasikiliza vyema nitambue mengi yanayoendelea nchini humu
Acha Mkinga awachane...
Kale malimao ukweli unauma .Hivi huyu mzee Kwanini anaruhusiwa kuongea kwenye TV?
Huwa mpayukaji sana Mkinga huyu.
Hawezi kuongea taratibu?
Ana nondo balaa.
Anaomba audience na JPM na MKM.
Ila anapayuka sana
Katoa ushauri mzuri, wamfufue marehemu Nasaco!
Unataka KInana Aisome Number?
mwisho mtaulizia na Takoshili! Duh! wangapi wanijua hii humu au hata washawahi kuisikia?