Madam kutoka Nchini Lebanoni auawa kwa kuchinjwa kinyama na housegirl wa ndani

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Sep 10, 2016
6,324
5,934
Jamani jamani Dunia imekwishaharibika wandugu 2nakoerekea aise Mungu anajua!!!!!!

Madam amehinjwa kinyama na kuuawa kutoka kwa mufanyakazi wake wa ndani Raia wa ETHIOPIA .inadaiwa kuwa mfanyakaz huyo alimuonea wivu madam wake,,kisa na mkasa? kabeba mimba na ndipo akachukuwa uamuz wa kumuuwa/kumchinja kinyama kwa kutumia KISU. My take

Wivu ni mbaya mno aise. Hii ni laana wandugu co bure,,,,,, unamuuwa binti mdogo masikini ya Mungu kwasababu amebeba mimba!!!!!!!! wivu wa kijinga kabisa. binadamu 2nakuwa na roho ya kinyama mno wakati mwingine

Mutanisamehe wandugu picha zenyewe ni hiz hapa

IMG-20170525-WA0012.jpg
IMG-20170525-WA0008.jpg


Vidio hiyo hapo wandugu
 

Attachments

  • VID-20170525-WA0009.mp4
    2.5 MB · Views: 61
RIP masikini kadada! Na huyo mfanya kazi wa ndani ni RIP in advanced! Kudadek walahi!
 
Mkuu.ni madam kachinjwa na housegirl

Umesoma vizuri alicho andika huyu mtu?? Sasa madam kachinjwa kisa kabeba mimba ulitaka abebe jiwe?? Huyu hg anauhusiano gani na mimba ya madam?? Au, hg tiyari alikwisha ambiwa kuwa atakuwa madam hapo kwa sababu marehemu alikuwa tasa?? Maswali ni mengi
 
Manyanyaso huko nje waarabu wamezid sana unyanyasaji atakuwa. Huyo house girl alishindwa kuvumilia hayo mateso hasira zake ndiyo kamua kuchinja tu
 
Back
Top Bottom