kumbe ww na huyu mtoto hauna tofauti yeyote! badala umjibu kubwa zima sijui holder wa md/bvm/amo unampa mipasho ya taarabu! amekuambia hamjui mzee yusufu au, ndio maana mpo nchini mmekalia majungu ugonjwa kidogo tu ni lazima India kweli nyie ethiks zenu zero.BVM /DVM ovyo walipa kodi waliowafundisha wanafuga ngombe lakini soko hamna kisa magonjwa yanayoweza kuzuilika.Laiti ningekuwa ni mimi hata hyo sifa ya kuitwa daktari hapa bongo nisingeitamani! Mwanaume /msomi wa shoka anajisifia kwa kazi na si migomo migomo ya kibinafsi eti sisi muhimu , muhimu kwa lipi?