Wiki iliyopita nilisoma kwenye gazeti la nipashe kuhusu kuanza kuhojiwa kwa madaktari walioshiriki kwenye mgomo na hatimaye kusitishiwa usajili na walisema wanaanzia Mbeya. Naomba mwenye updates ya kilichojiri na kinachoendelea mpaka sasa atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.