Maabara nyingi za mtaani zinawafanyakazi ambao hawana vigezo vya upimaji hivyo ni muhimu sana kujua sehemu moja ambayo ina mtaalamu wa kupima aliyesajiliwa na mwwnye cheti ni dispensary chache sana zina hawa watu nyingi ni geresha tuu ukitaka kupima ni bora ufanye utafiti ujue kwanza la sivyo ndio itakua hivohivoHabari zenu wakuu.
Mara nyingi nimekuwa nikienda hospital au maabara na friends wangu majibu karibia ya watu wote yanakuja sare..
Mfano vipimo vya malaria, typhoid na UTI majibu huwa yanarudi sare kama ni typhoid na uti unakuta hatuna malaria.
Au siku zote unakuta wote tuna malaria tuu UTI na typhoid hamna..
Sasa jana nilipima nikaambiwa Nina malaria na typhoid nikasema ngoja nijaribu hospital nyingine hivi sasa natoka Hosp sina malaria, typhoid wala UTI Na suikutumia dawa yoyote vipi inawezekanaje?
Au wakati mwingine vipimo vinadanganya?
Wale mliofanikiwa kusoma science ya Afya na maabara nisaidieni.
Mimi nilisoma BA_KISWAHILI.
Asanteni..
Hii ni kweli mkuu niliwahi kwenda hospitali moja kubwa tu baada ya vipimo wakasema nina TB sijui ya mifupa nikaanzishiwa dozi ya TB nimevigonga kama wiki kadhaa hali ikazidi kuwa mbaya kwenda Muhimbili wakasema sio TB niachane na hivyo vidonge lkn shughuli niliipata.Diagnosis ki-bongo bongo ni ya kuwa makini nayo sana. Ni issue ya ethics and integrity. Hospitali nyingine ziko kikazi, unaweza ukamezeshwa kapu zima la madawa wakati hauumwi hata kidogo. Second opinion is always the answer.
Kweli nimeona huo umuhimu sana.Maabara nyingi za mtaani zinawafanyakazi ambao hawana vigezo vya upimaji hivyo ni muhimu sana kujua sehemu moja ambayo ina mtaalamu wa kupima aliyesajiliwa na mwwnye cheti ni dispensary chache sana zina hawa watu nyingi ni geresha tuu ukitaka kupima ni bora ufanye utafiti ujue kwanza la sivyo ndio itakua hivohivo
Na kama ni hivyo nimezimeza sana.Diagnosis ki-bongo bongo ni ya kuwa makini nayo sana. Ni issue ya ethics and integrity. Hospitali nyingine ziko kikazi, unaweza ukamezeshwa kapu zima la madawa wakati hauumwi hata kidogo. Second opinion is always the answer.
Tell me nini shida pm naweza nikakushauri nini ufanyeKweli nimeona huo umuhimu sana.
Yaani mpaka sasa nipo njia panda naumwa au siumwi.
Cha muhimu kwa checkup tumia sana hospitali za serikali hata kama kuna kero zitumie maana ni hapo tuu utapata majibu sahihi au nenda hospital kubwa pia huko hawaajiri watu wasio na sifa okyYaani huwa napenda kufanya check up na baada ya kumeza dawa huwa narudi kuangalia vipi tatizo limeisha au lah.
So majibu yanakujaga namna hiyo.
Asante sana kwa ushauri.Cha muhimu kwa checkup tumia sana hospitali za serikali hata kama kuna kero zitumie maana ni hapo tuu utapata majibu sahihi au nenda hospital kubwa pia huko hawaajiri watu wasio na sifa oky
Ok kama shida bado tell me i will made for u kuondoa utata gud dayAsante sana kwa ushauri.
Nitazingatia hilo
Sikia dadangu tena nisikie vizur sanaa katika hili daah sema hutonielewa hii kesi somewhere ilitokea mtu anaumwa UTI asa amemeza dawa still anaumwa kurudi hospital kupima hana tatizo.unajua nin kilifata? Akashtaki kuwa vipimo vimedanganya.Yaani huwa napenda kufanya check up na baada ya kumeza dawa huwa narudi kuangalia vipi tatizo limeisha au lah.
So majibu yanakujaga namna hiyo.
Sector ya afya imeuawa na wanaothamini vyeti kuliko ujuzi na uzoefu wa mtu lab technician wabobezi ni wale up graders waliokuwa wanaanzia u hudumu mpaka cheti diploma na kuendelea.Na kama ni hivyo nimezimeza sana.
Sijui hata nini kifanywe kurudisha heshima kwenye sector ya Afya
Itabidi nikuelewe tuuSikia dadangu tena nisikie vizur sanaa katika hili daah sema hutonielewa hii kesi somewhere ilitokea mtu anaumwa UTI asa amemeza dawa still anaumwa kurudi hospital kupima hana tatizo.unajua nin kilifata? Akashtaki kuwa vipimo vimedanganya.
Akaomba kufanya culture/kukuza bacteria still hawakukua na bado hapo anaumwa hahahaha shule raha sanaaa.
Akawa mtata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nafurahi nkikumbuka.
Moja ya kisababishi kitakachofanya bacteria, asionekane ni uwepo wa kemikali/dawa uliyotumia.
Sasa nikushauri week mbili kutokea ulipotumia dawa usipende kwenda kupima utaona unadanganywa kumbe laah nazungumzia kwa wew ulokuwa salama tayar dawa iko mwlini na hauoni dalili za mwli kushambuliwa.
Au hujawahi kujiuliza kwanini HIV unashauri kupima kila baada ya miezi 3.?
Ngekuwa mwandishi ningekuandikia uelewe zaidi ila jitahidi uelewe nilivoandika.
Asante mkuu kesho naamkia hospital nyingineSector ya afya imeuawa na wanaothamini vyeti kuliko ujuzi na uzoefu wa mtu lab technician wabobezi ni wale up graders waliokuwa wanaanzia u hudumu mpaka cheti diploma na kuendelea.
Siku hizi admission criteria ni D nne ambazo hazijulikani zinapatikanaje na hawa wakifika vyuo wanaendeleza mtindo wa wizi wa marks wanapata vyeti vya ku practice kwenye sector sensitive kama afya ya binadamu!
I'm writing these through practical evidence siku hizi si kila anayevaa koti jeupe na stethoscope shingoni ni Dr, wengi ni vimeo na marks za kughushi! Serikali ikiweza kuwafanya ma Dr wote kuwa specialist kwa maana ya kupata chance ya kusoma nje ya Tz pengine tunaweza kupata suruhisho la tatizo.
Hata hospital na dispensaries za mitaani tatizo ni hilohilo kwakuwa wanaozisajiri na kuzisimamia ni wizara ya afya kupitia wataalamu weak wasioweza ku adhere na kanuni na taratibi stahiki.
I conquer na msemaji wa mwanzo kwamba you have to go for second opinion in case of majibu ya maabara zetu otherwise utajikuta unapewa metakelfin tabs na kutundikiwa drip ya quinine muda huo huo!