samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Nimeona habari tbc inasema Cheka kaibuka na ubingwa katika pambano la jana dhidi ya Mada Maugo. Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi hicho ni kipigo cha tatu mfululizo mada anakipata kutoka kwa Francis Cheka.
Mara mbili zilizopita Maugo alilalamika kwamba cheka alipendelewa na majaji na waamuzi lakini safari hii pambano limechezeshwa na marefa kutoka nje ya nchi na jopo la majaji pia limeundwa na watu kutoka nje ya nchi lakini bado mada maugo kadundwa japo sijajua kadundwa kwa pointi ngapi.
ushauri wangu kwa mada maugo atangaze rasmi kustaafu ngumi kwani ni dhahiri hamuwezi tena cheka. Asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kama ataona kujiuzulu inakuwa ngumu basi atafute watu saizi yake ya kupamabana nao kwani Francis Cheka sio saizi yake hata kidogo.
Mara mbili zilizopita Maugo alilalamika kwamba cheka alipendelewa na majaji na waamuzi lakini safari hii pambano limechezeshwa na marefa kutoka nje ya nchi na jopo la majaji pia limeundwa na watu kutoka nje ya nchi lakini bado mada maugo kadundwa japo sijajua kadundwa kwa pointi ngapi.
ushauri wangu kwa mada maugo atangaze rasmi kustaafu ngumi kwani ni dhahiri hamuwezi tena cheka. Asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kama ataona kujiuzulu inakuwa ngumu basi atafute watu saizi yake ya kupamabana nao kwani Francis Cheka sio saizi yake hata kidogo.