ni sehemu tulivu sana machame!! nakumbuka those school days visiting machame girls!!
Ila hii issue ya wanawake wa kimachame inatisha, inabidi mtoa hoja aje atufafanulie maana kuoa kule lazima uwe na moyo wa ujasiri.
By the way mlio karibu nasikia Kilimanjaro machine tools imekuwa godawn la mahindi na pumba ni kweli?