K kindondindo JF-Expert Member Joined Jul 8, 2013 Posts 503 Reaction score 151 Mar 25, 2015 #1 Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni. Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa
Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni. Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa
S Sumu JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 7,015 Reaction score 6,246 Mar 25, 2015 #2 Hawa madereva wa bodaboda serikali ikiendelea kuwachekea wanaweza kuingia msituni kuanzisha jeshi la uasi. Serikali iwadhibiti mapema iwezekanavyo. Long story short, "wachapwe".
Hawa madereva wa bodaboda serikali ikiendelea kuwachekea wanaweza kuingia msituni kuanzisha jeshi la uasi. Serikali iwadhibiti mapema iwezekanavyo. Long story short, "wachapwe".
U ujerumani Senior Member Joined Jan 31, 2015 Posts 125 Reaction score 86 Mar 25, 2015 #3 Wapige za moto
eli moon Member Joined Nov 17, 2014 Posts 55 Reaction score 14 Mar 25, 2015 #4 Mmmh!mbona kama wanakuja juu sana?nafikiri kuna jambo la kufanya kuratibu aina hii ya usafiri ambao umeshamiri kwa sasa Tanzania nzima!
Mmmh!mbona kama wanakuja juu sana?nafikiri kuna jambo la kufanya kuratibu aina hii ya usafiri ambao umeshamiri kwa sasa Tanzania nzima!
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,766 Reaction score 23,217 Mar 25, 2015 #5 Kwa nini wawakamate bila kuwaambia kosa? Kama ni kweli ndio utaratibu huo???
B Borakuyumba Senior Member Joined Jan 4, 2015 Posts 185 Reaction score 29 Mar 25, 2015 #6 Hii Nchi imesha kuwa uwanja wa fujo sasa Unakamataje mali ya mtu bila kumueleza kosa..?
M mwasu JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 10,161 Reaction score 11,551 Mar 25, 2015 #8 eli moon said: Mmmh!mbona kama wanakuja juu sana?nafikiri kuna jambo la kufanya kuratibu aina hii ya usafiri ambao umeshamiri kwa sasa Tanzania nzima! Click to expand... watadhibitije wakati serikali ilipitisha muswada wa hivi vyombo ktumika kam ambulance vijijini? hapo ndio watajua haki sawa kwa wote ni nini.
eli moon said: Mmmh!mbona kama wanakuja juu sana?nafikiri kuna jambo la kufanya kuratibu aina hii ya usafiri ambao umeshamiri kwa sasa Tanzania nzima! Click to expand... watadhibitije wakati serikali ilipitisha muswada wa hivi vyombo ktumika kam ambulance vijijini? hapo ndio watajua haki sawa kwa wote ni nini.
K Kayagamba JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 467 Reaction score 121 Mar 25, 2015 #9 kindondindo said: Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni. Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa Click to expand... Wa akina Alfonso wanatafuta za Pasaka. Jana Mererani juzi Tunduma leo Songea. Ingefaa kama wangezitafuta kwa maf.sadi lakini kwa bodaboda? Aaagh.
kindondindo said: Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni. Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa Click to expand... Wa akina Alfonso wanatafuta za Pasaka. Jana Mererani juzi Tunduma leo Songea. Ingefaa kama wangezitafuta kwa maf.sadi lakini kwa bodaboda? Aaagh.
J jamiimemba Senior Member Joined Oct 30, 2014 Posts 156 Reaction score 39 Mar 25, 2015 #11 kindondindo said: Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni. Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa Click to expand... mkuu tupe updates mana tuna mali zetu huko
kindondindo said: Eneo la bombambili songea kinanuka saizi ni baada ya polisi kukamata pikipiki kama 200 afuunaambiwa kosa utalijua kituoni. Bodaboda wameamua kuchoma matair ya gari barabarani pale mteremkoni kama unapanda kwa mkuu wa mkoa Click to expand... mkuu tupe updates mana tuna mali zetu huko
idete Member Joined Apr 8, 2012 Posts 61 Reaction score 15 Mar 25, 2015 #12 sio usajiri wa namba mpya?
jiwe la maji JF-Expert Member Joined May 17, 2014 Posts 1,062 Reaction score 705 Mar 25, 2015 #13 niwakati sasa wa vikundi vyote vinavyo jitafutia pesa ya kula kwa njia halali kupambana na wafuasi wa magamba tanganyika msikubali wonevu huu pambaneni mpaka mjipatie uhuru wa kweli si huu wa mkoloni mweusi
niwakati sasa wa vikundi vyote vinavyo jitafutia pesa ya kula kwa njia halali kupambana na wafuasi wa magamba tanganyika msikubali wonevu huu pambaneni mpaka mjipatie uhuru wa kweli si huu wa mkoloni mweusi
K kindondindo JF-Expert Member Joined Jul 8, 2013 Posts 503 Reaction score 151 Mar 25, 2015 Thread starter #14 jamiimemba said: mkuu tupe updates mana tuna mali zetu huko Click to expand... mkuu hakuna uhalibifu wa mali
jamiimemba said: mkuu tupe updates mana tuna mali zetu huko Click to expand... mkuu hakuna uhalibifu wa mali
KOLOKOLONI JF-Expert Member Joined Mar 7, 2014 Posts 2,476 Reaction score 2,372 Mar 25, 2015 #15 pinda kasema wawapige tu sasa wewe tia mguu wakufunue.