Mabomba ya gas mtwara-dar yawasili

Mabomba ya gas mtwara-dar yawasili

ksb

Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
42
Reaction score
0
Hatimaye mabomba ya gesi kutoka china yamewasili nchini tayari kujengwa kupitisha gesi toka mtwara kwenda Dar
 
Hao wachina wenyekujenga hayo mabomba wanalindwa kama Albino. Je hayo mabnaomba yatakayowekwa ardhininani atayalinda?
 
hiyo ni dharau kwa wana mtwara,serikali ingetekeleza kwanza ahadi zake kwa wana mtwara,ndipo ianze kulanza mabomba kwenda dar
 
sawa lakin ingekuwa vzuri kama ungeweka na ushahidi au chanzo

Ni kweli mkuu nimeyaona. Kama unataka kuyaona yamekusanywa mbele ya mbagala kama unaelekea vikindu yapo upande wa kulia kabla hujakata kona kuelekea toangoma. Hiyo sehemu ilikuwa ni bonde la mpunga. Naona wamezungushia bendera za kijani hilo eneo hilo na watanzania kibao wamejaa kuomba kazi
 
ngoja niende mtwara nikachimbe mitaro ya hilo bomba maana wamachinga lazima watasusia kuchimba
 
Back
Top Bottom