Ni kweli mkuu nimeyaona. Kama unataka kuyaona yamekusanywa mbele ya mbagala kama unaelekea vikindu yapo upande wa kulia kabla hujakata kona kuelekea toangoma. Hiyo sehemu ilikuwa ni bonde la mpunga. Naona wamezungushia bendera za kijani hilo eneo hilo na watanzania kibao wamejaa kuomba kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.