Kwa uchunguzi wangu mdogo duka la kamaka liliopo barabara ya mandela opposite na t.o.t,wanauza vifaa vya ujenzi bila kutoa tra risiti ,ushahidi ninao naomba tra wafuatilie waache kulumbana na vi hotel na migahawa,wakitaka ushahid nitatoa contact zangu na document.dduka linauza sana,please tra fuatilieni mkishindwa nita pambana mpaka kwa waziri wafedha