Mabetri ya Amaron yanauzwa

jokielias

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
1,210
Reaction score
363
TUNAUZA BETRI YA MAGARI AINA YA AMARON. AMARON NI MABETRI IMARA NA ORIGINO KUTOKA INDIA. AMARON NI MABETRI YANAYOFAHAMIKA TANZANIA NZIMA.

PIA TUNAUZA NA BETRI ZA YUASA. BETRI ZA YUASA NAZO NI IMARA NA ORIGINO KUTOKA INDONESIA.

TUNATOA WARRANTY YA MWAKA MZIMA. BETRI ZOTE NI SEALED ( DRY CELL).

WADAU WA MIKOANI TUNAWASAFIRISHIA MZIGO. SIMU- 0689-866100. 0717-518359

KUNA SIZE ZA BETRI ZINGINE ZINAUZIKA HARAKA NA KUMALIZIKA MAPEMA KWAHIYO MTEJA AWEKE ODA MAPEMA KAMA ANAHITAJI.




UKUBWA WA BETRI NA BEI ZAKE; (YUASA NA AMARON)

1) NS40 - 120K
2) N50Z- 165K
3) N60- 135K
4) N70Z- 190K
5) N80- 210K
6) N90- 260K
7) N100- 290K
8) N150- 380K
9) NT180- 500K
10) NT165 - 470K

TUNAPATIKANA DAR, PIGA SIMU 0717518359, 0689866100.
KARIBUNI.
 
Ni vema ungelipiga picha likiwa nje ya box na kusema ni ya dry cell au ya maji

Alafu na n120 au 150 kama yapo
 
Mabetri maana yake "Ma- magari, betri.=Betry za gari, na kwa kuwa zipo nyingi na jamaa kapiga uwingi basi akaona aandike "mabetri" kana kwamba ndio yale ya redio mkulima kumbe betri za magari.
 
Mabetri maana yake "Ma- magari, betri.=Betry za gari, na kwa kuwa zipo nyingi na jamaa kapiga uwingi basi akaona aandike "mabetri" kana kwamba ndio yale ya redio mkulima kumbe betri za magari.
Asante kwa ufafanuzi, Betri ni neno moja. Nimetumia neno mabetri ili kutaja uwingi. kwahiyo nikisema Mabetri ya magari, kila mtu anajua namaanisha nini?? Kama kuna wataalamu wa kiswahili wanisaidie hapo.
 
Weka bei zake kwa mfumo wa "Tshs"
Sawa nimekuewekea hapo;
NS40- 110,000 tshs
N50Z- 162,000 tshs
N60- 124,000 tshs
N70Z- 186,000 tshs
NT180- 500,000 tshs
NT165 - 470,000 tshs
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…