Mkuu tangazo lako halitoshi!upo wapi?Dar,Arusha,Kibondo etc?bei inategemea na mahali ulipo!kama upo dar mbao 2by4treated inauzwa kwa futi mkuu!inatembea shs 900 hadi 880 kwa futi moja!urefu inategemea kwani zingine zinafikia urefu wa futi 20!
Kuhusu mabati mkuu yapo ya Alaf,Ando na mchina,inategemea unataka kiwanda gani kila product ina bei yake!na pia gauge ya bati husika!kuna gauge 32,30,28,26 24 nk