Kwa wale wa mwanza nitafuteni nitafanya nanyi biashara kwa bei nzuri,bati zinatoka India zinaitwa TATA ni zile za mingongo mipana geji 30 rangi ni bluu,niweka picha kesho,bei 32000 kwa pc haipungui,na sio fake unaziona kwanza ukiridhika poua tunafanya biashara, ni pm kwa atakae hitaji !