Mabati for sale

Latifaa

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2012
Posts
501
Reaction score
258
Karibuni Wateja mnaohitaji mabati ya aina mbali mbali, yapo ya aina zote migongo mikubwa na midogo pamoja na vigae vya kisasa na misumari aina zote, mlioko dar es salaam na nje ya dar wote nawakaribisha,wamikoani tutawasafirishia mpaka mkoa ulioko nawakaribisha sana. Bei nayowauzia niyakiwandani karibuni sana
 
Halafu hilo bundle lina bat ngapi na unaposema za rangi unamanisha za kampuni gani?
 
Embu weka picha watu tunataka hizo Mali ghafi m nko Mbeya kama poa nakuagizia uniletee
 
Mkuu umekuja wakati muafaka, nahitaji hizo bati kwenye picha, naomba uniambie wauzaje kwa pc mimi nataka jumla kama pc 600 hivi, niambie original bei gani?
 

Attachments

  • 29a10502e5cb28eee83f5578391d9ec9 (1).jpg
    112.8 KB · Views: 838
Mkuu umekuja wakati muafaka, nahitaji hizo bati kwenye picha, naomba uniambie wauzaje kwa pc mimi nataka jumla kama pc 600 hivi, niambie original bei gani?

Nimeona boss hayo mabati yapo bei 12500 kwamita na kwa pc bei 36000, karibu sana idadi yoyote utapata
 
Halafu hilo bundle lina bat ngapi na unaposema za rangi unamanisha za kampuni gani?

Bandle lina bati 16 geji30 na 12 geji28 hizi ni bati za kawaida hazina rangi, zarangi naanisha bati zilizopakwa rangi e.g blue, green, red e.tc
 
Halafu hilo bundle lina bat ngapi na unaposema za rangi unamanisha za kampuni gani?

Kuna bati za rangi zinazotoka nje yanchi south Africa na za viwandani hapa tz i.e Simba,kiboko , alafu etc
 
Kwa wale wa mwanza nitafuteni nitafanya nanyi biashara kwa bei nzuri,bati zinatoka India zinaitwa TATA ni zile za mingongo mipana geji 30 rangi ni bluu,niweka picha kesho,bei 32000 kwa pc haipungui,na sio fake unaziona kwanza ukiridhika poua tunafanya biashara, ni pm kwa atakae hitaji !
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…