Utayaona wapi wakwepa kodi wakubwa hao..
kampuni itakayoendsha mwendokasi inaitwa UDART (UDA Rapid Transit) inayomiikiwa kwa ubia kati ya UDA na wamiliki wa daladala Dar, DARCOBOA.Ndo maana mabasi ya mwendo kasi yalikua yanacheleweshwa kisanii
Mkuu mbona leo nimeliona moja Ubungo linaita abiria wa Kariakoo.yako lupango yote, mmiliki wake ameingia mitini. Hapa kazi tu.
Baada ya kukabiliwa na kashfa kubwa ya kutolipa kodi wamebadilisha rangi na yanaendelea kupiga kazi!!!!
Kwahiyo watu wanaendaje posta na kivukoni siku hizi?Wana JF,
Naomba kujuzwa, nina kama siku nne hivi siyaoni mabasi ya UDA barabarani, kulikoni?