Mabasi ya Modern Coast

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,564
Reaction score
8,876
Haya ni Mabasi ya Kenya kama sikosei ingawa yapo yenye usajili wa Tanzania na wana root ya Dar to Nairobi na kwa kenya wana safari kibao ikiwemo Nairobi to Mombasa.
Haya mabasi kwa kweli ni veru luxury nimebahatika mara mmbili kuapnda mabasi yao, na kwa kweli Tanzania bado sana wale wakina Dar express ni cha mtoto kwa hawa jamaa.

CHEKINI HIZO SITI ZAO ZILIVYO


Hiyo ni siti ndani ya basi unaweza lala, sasa njoo kwenye basi zetu kama unaweza kunjua siti kiasi hicho



 
Halafu hawa jamaa wana systeam ya kukata tiketi online kama kwenye ndege tu, wako vizuri sana halafu basi mmoja unaweza kuta lina bei tofauti yaani kuna siti ina bei tofauti.
 
mfumo wao wa Online
 
Mwaka jana niliwahi kupanda moja ya haya mabasi kutoka Dar kwenda Mombasa lakini niliona ni bus la kawaida sana. Labda kama inategemea na bus linalokuwepo siku hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…