Mabalozi sija waona kwenyew kuapishwa kwa Shein

Kilasi Mkuu

JF-Expert Member
Nov 25, 2013
2,325
719
Wakuu kwa haraka haraka sijawaona mabalozi wa nje,ina maana nao wamesusia kama CUF?Pia kwa haraka haraka hata marais wa staafu sijawaona.Lakini wakuu kama mmewaona mnijuze.Pia mama Karume naona ajipumzikie tu.Kusema kura 6000 katia nani ni kuchoka kufikiri tu.kwani hata hiyo 299000 aliyo pata Shein nani ajuaye.Maana waliandaa ccm,wakapiga ccm,wakatangaza matokeo ccm nakisha wakajiapisha ccm.Sijui kama kuna haja yakuumiza kichwa kuhusu kura hizo
 
Shein kachaguliwa na Jecha !
Nikweli mkuu,maana wazanzibar wanasema wanakaliwa kimabavu na Tanganyika na Shein na kama Gavana wa Tanganyika katika koloni la Zanzibar.Maneno hayo si mema yakikolea miongoni mwa Wazanzibar
 
Wakuu kwa haraka haraka sijawaona mabalozi wa nje,ina maana nao wamesusia kama CUF?Pia kwa haraka haraka hata marais wa staafu sijawaona.Lakini wakuu kama mmewaona mnijuze.Pia mama Karume naona ajipumzikie tu.Kusema kura 6000 katia nani ni kuchoka kufikiri tu.kwani hata hiyo 299000 aliyo pata Shein nani ajuaye.Maana waliandaa ccm,wakapiga ccm,wakatangaza matokeo ccm nakisha wakajiapisha ccm.Sijui kama kuna haja yakuumiza kichwa kuhusu kura hizo
Hawakualikwa
 
Wakuu kwa haraka haraka sijawaona mabalozi wa nje,ina maana nao wamesusia kama CUF?Pia kwa haraka haraka hata marais wa staafu sijawaona.Lakini wakuu kama mmewaona mnijuze.Pia mama Karume naona ajipumzikie tu.Kusema kura 6000 katia nani ni kuchoka kufikiri tu.kwani hata hiyo 299000 aliyo pata Shein nani ajuaye.Maana waliandaa ccm,wakapiga ccm,wakatangaza matokeo ccm nakisha wakajiapisha ccm.Sijui kama kuna haja yakuumiza kichwa kuhusu kura hizo
kwa akili yako hivi zanzibar kimataifa inajulikana kama nchi ama kisiwa kilichopo katika jamhuri ya Tanzania?
 
kwa akili yako hivi zanzibar kimataifa inajulikana kama nchi ama kisiwa kilichopo katika jamhuri ya Tanzania?
kwa akili yako kwa nini kuna serlikali na Rais na katiba yake kama siyo akili za maharage
 
Nec Kusimamia Chaguzi hadi Za Zenji Imekaaje hii kikatiba? au ndio mwendelezo wa ubakaji wa Katiba?
 
Back
Top Bottom