Wadau naomba mnijulishe ni sabuni gani au lotion gani nitumie ili kuondoa haya mabaka usoni au pia nifanye kipi ili kuyatoa haya mabaka usoni kwangu maana uso wangu umeharibika.
Hayo ni makovu ,ukipata chunusi usizitumbue, wala usizichezee ndio solution!Jaribu creams au facial treatments zinazoweza kukusaidia kuimarisha ngozi lakini hakuna tiba ya makovu labda kwa
Hayo ni makovu ,ukipata chunusi usizitumbue, wala usizichezee ndio solution!Jaribu creams au facial treatments zinazoweza kukusaidia kuimarisha ngozi lakini hakuna tiba ya makovu labda kwa
haichubui,unaweza i'google,nishawahi kupewa na daktari wa ngozi na dawa za kumeza baada ya kusumbuliwa na rashes plus pimples usoni,zmeisha uso umetakata kabisa,japo inachukua muda zaidi ya mwezi na nusu but matojeo utayapenda,see a doctor
haichubui,unaweza i'google,nishawahi kupewa na daktari wa ngozi na dawa za kumeza baada ya kusumbuliwa na rashes plus pimples usoni,zmeisha uso umetakata kabisa,japo inachukua muda zaidi ya mwezi na nusu but matojeo utayapenda,see a doctor