Maaumivu ya tumbo sehemu za mbavuni kulia na kushoto.

Dec 8, 2016
79
170
Habari za wakati huu wakuu.

Kama heading yangu inavyojieleza hapo juu nimekuwa na hayo maumivu sasa karibu mwezi. Nilishaenda hospital ya rufaa ya temeke kupima kwa kipimo cha ultra sound ila hawakuona tatizo lolote kwani walisema figo zote ziko sawa,ini ipo sawa kibofu cha mkojo pia hakina tatizo.

Kuna dawa walinipa za kutumia for 10 days nikimaliza nirudi tena niliporudi kwa sababu sikuwa na mambadiliko yoyote wakanibadilishia dawa. Nazo nikameza zilipoisha sikuwa na nafuu ikabidi niende hospital binafsi huko wakaniambia nina U.T.I nikachoma sindano za tano za power cafe.

Likazuka lingine la kupata maumivu ya kichwa na kuchemka mwili hasa ikifika mida ya saa sita za mchana. Baada ya kumaliza zile sindano ikabidi niende tena hospital safari hii walinipima typhoid na Malaria na U.T.I na vyote walinikuta navyo tena so wakaniandika dawa ambayo inamchanganyiko wa kutibu typhoid na U.T.I ila jina la hiyo siikumbuki vizuri.

Sasa dawa nimemaliza naona hali bado haijakaa sawa maumivu ya kwenye mbavu yapo vile vile na hizi homa nazo ikifika ile mida tu nakuwa mahututi ila haya maumivu ya mbavu nipiga myao ( yawning ) ndio yauma zaidi.

Naombeni msaada wenu wakuu hospital ipi inaweza ikawa msaada mzuri zaidi au ni dawa ipi naweza nikatumia ili niwe sawa kwa sasa hivi nimehamishia makazi yangu jijini Dar es salaam nipo maeneo ya Mbagala Zakhem
 
Habari za wakati huu wakuu.

Kama heading yangu inavyojieleza hapo juu nimekuwa na hayo maumivu sasa karibu mwezi. Nilishaenda hospital ya rufaa ya temeke kupima kwa kipimo cha ultra sound ila hawakuona tatizo lolote kwani walisema figo zote ziko sawa,ini ipo sawa kibofu cha mkojo pia hakina tatizo.

Kuna dawa walinipa za kutumia for 10 days nikimaliza nirudi tena niliporudi kwa sababu sikuwa na mambadiliko yoyote wakanibadilishia dawa. Nazo nikameza zilipoisha sikuwa na nafuu ikabidi niende hospital binafsi huko wakaniambia nina U.T.I nikachoma sindano za tano za power cafe.

Likazuka lingine la kupata maumivu ya kichwa na kuchemka mwili hasa ikifika mida ya saa sita za mchana. Baada ya kumaliza zile sindano ikabidi niende tena hospital safari hii walinipima typhoid na Malaria na U.T.I na vyote walinikuta navyo tena so wakaniandika dawa ambayo inamchanganyiko wa kutibu typhoid na U.T.I ila jina la hiyo siikumbuki vizuri.

Sasa dawa nimemaliza naona hali bado haijakaa sawa maumivu ya kwenye mbavu yapo vile vile na hizi homa nazo ikifika ile mida tu nakuwa mahututi ila haya maumivu ya mbavu nipiga myao ( yawning ) ndio yauma zaidi.

Naombeni msaada wenu wakuu hospital ipi inaweza ikawa msaada mzuri zaidi au ni dawa ipi naweza nikatumia ili niwe sawa kwa sasa hivi nimehamishia makazi yangu jijini Dar es salaam nipo maeneo ya Mbagala Zakhem
Unapopewa dawa unaamini zitakusaidia? Mbona tatizo lako kama vile nil "gas/vichomi"
 
Mbovu ziko juu kwenye mapafu tumbo liko chini, wapi exactly unapopata maumivu? Mbavu ya ngapi? Yanakuja ovyo ovyo au ukipumua? Ukibonyeza panauma?
 
Habari za wakati huu wakuu.

Kama heading yangu inavyojieleza hapo juu nimekuwa na hayo maumivu sasa karibu mwezi. Nilishaenda hospital ya rufaa ya temeke kupima kwa kipimo cha ultra sound ila hawakuona tatizo lolote kwani walisema figo zote ziko sawa,ini ipo sawa kibofu cha mkojo pia hakina tatizo.

Kuna dawa walinipa za kutumia for 10 days nikimaliza nirudi tena niliporudi kwa sababu sikuwa na mambadiliko yoyote wakanibadilishia dawa. Nazo nikameza zilipoisha sikuwa na nafuu ikabidi niende hospital binafsi huko wakaniambia nina U.T.I nikachoma sindano za tano za power cafe.

Likazuka lingine la kupata maumivu ya kichwa na kuchemka mwili hasa ikifika mida ya saa sita za mchana. Baada ya kumaliza zile sindano ikabidi niende tena hospital safari hii walinipima typhoid na Malaria na U.T.I na vyote walinikuta navyo tena so wakaniandika dawa ambayo inamchanganyiko wa kutibu typhoid na U.T.I ila jina la hiyo siikumbuki vizuri.

Sasa dawa nimemaliza naona hali bado haijakaa sawa maumivu ya kwenye mbavu yapo vile vile na hizi homa nazo ikifika ile mida tu nakuwa mahututi ila haya maumivu ya mbavu nipiga myao ( yawning ) ndio yauma zaidi.

Naombeni msaada wenu wakuu hospital ipi inaweza ikawa msaada mzuri zaidi au ni dawa ipi naweza nikatumia ili niwe sawa kwa sasa hivi nimehamishia makazi yangu jijini Dar es salaam nipo maeneo ya Mbagala Zakhem
Mkuu ukipata dawa ya hili tatizo na mimi naomba nidokezee
 
Mbovu ziko juu kwenye mapafu tumbo liko chini, wapi exactly unapopata maumivu? Mbavu ya ngapi? Yanakuja ovyo ovyo au ukipumua? Ukibonyeza panauma?
Mkuu ni usawa wa kwenye ini kwa upande wa kulia na kushoto pia usawa huo. Ila nikiminya hakuna maumivu ninayohisi.

Haya maumivu yanakuja hasa pindi eidha nikipiga myao (yawning) au nikijinyosha.
 
Pole mkuu kwa hilo tatizo,hata mm nilikuwa nina tatizo kama hilo ila namshukuru Mungu limepungua kwa kiasi fulani.hivi choo unapata vizuri?kama choo hupata vizuri au kinakuwa kigumu bac jua moja kwa moja hio ni gas,inakwangua sana kwenye mbavu.ushauri kunywa maji mengi hata 5ltr kwa cku na pia avoid vyakula vya gas.kula matango kwa wingi water mellon pamoja na miwa hii itakusaidia kutoa gas kwa tumbo.
 
Huna tatizo lolote,mi nimewahi kuumwa hizo sehemu unazozitaja nikafanyiwa ultrasound na hakukua na shida,yoyote ulichokikosa hapo ni mazoezi tu fanya mazoezi ya kukata tumbo, baada ya wiki tu, utakua sawa100 %
 
Pole mkuu kwa hilo tatizo,hata mm nilikuwa nina tatizo kama hilo ila namshukuru Mungu limepungua kwa kiasi fulani.hivi choo unapata vizuri?kama choo hupata vizuri au kinakuwa kigumu bac jua moja kwa moja hio ni gas,inakwangua sana kwenye mbavu.ushauri kunywa maji mengi hata 5ltr kwa cku na pia avoid vyakula vya gas.kula matango kwa wingi water mellon pamoja na miwa hii itakusaidia kutoa gas kwa tumbo.
Mkuu choo sipati vizuri yaani naweza kumaliza hata siku mbili sijapata choo.Na ikitokea siku nimepata choo kinakuwa kigumu sana ,nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu nitalifanyia kazi hilo pia.
 
Huna tatizo lolote,mi nimewahi kuumwa hizo sehemu unazozitaja nikafanyiwa ultrasound na hakukua na shida,yoyote ulichokikosa hapo ni mazoezi tu fanya mazoezi ya kukata tumbo, baada ya wiki tu, utakua sawa100 %
Ahsante kwa ushauri mkuu .

Nitafanya hivyo maana huwa najisahau sana kwenye swala la kufanya mazoezi.
 
Mkuu kuhusu issue ya kusimamia show sana hapana maana naweza kukaa hata week sijafanya huo mchezo na siku nikipata ni goli mbili au tatu tu wala sinaga hamu zaidi yapo. Ila nitajitahidi kupunguza muda maana inawezekana muda ninaotumi ndio kigezo cha athari ninazozipata.

Ahsante sana kwa ushauri wako mkuu.
Hiyo ni misuli ya tumbo, na inaonekana unasimamia shoo sana. Kwa uzoefu wangu
 
Habari za wakati huu wakuu.

Kama heading yangu inavyojieleza hapo juu nimekuwa na hayo maumivu sasa karibu mwezi. Nilishaenda hospital ya rufaa ya temeke kupima kwa kipimo cha ultra sound ila hawakuona tatizo lolote kwani walisema figo zote ziko sawa,ini ipo sawa kibofu cha mkojo pia hakina tatizo.

Kuna dawa walinipa za kutumia for 10 days nikimaliza nirudi tena niliporudi kwa sababu sikuwa na mambadiliko yoyote wakanibadilishia dawa. Nazo nikameza zilipoisha sikuwa na nafuu ikabidi niende hospital binafsi huko wakaniambia nina U.T.I nikachoma sindano za tano za power cafe.

Likazuka lingine la kupata maumivu ya kichwa na kuchemka mwili hasa ikifika mida ya saa sita za mchana. Baada ya kumaliza zile sindano ikabidi niende tena hospital safari hii walinipima typhoid na Malaria na U.T.I na vyote walinikuta navyo tena so wakaniandika dawa ambayo inamchanganyiko wa kutibu typhoid na U.T.I ila jina la hiyo siikumbuki vizuri.

Sasa dawa nimemaliza naona hali bado haijakaa sawa maumivu ya kwenye mbavu yapo vile vile na hizi homa nazo ikifika ile mida tu nakuwa mahututi ila haya maumivu ya mbavu nipiga myao ( yawning ) ndio yauma zaidi.

Naombeni msaada wenu wakuu hospital ipi inaweza ikawa msaada mzuri zaidi au ni dawa ipi naweza nikatumia ili niwe sawa kwa sasa hivi nimehamishia makazi yangu jijini Dar es salaam nipo maeneo ya Mbagala Zakhem
Mkuu kwa dawa za Hospitali Maradhi yako hutoweza kupona nitafute mimi nipate kukutibia maradhi yako upate kupona.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Habari za wakati huu wakuu.

Kama heading yangu inavyojieleza hapo juu nimekuwa na hayo maumivu sasa karibu mwezi. Nilishaenda hospital ya rufaa ya temeke kupima kwa kipimo cha ultra sound ila hawakuona tatizo lolote kwani walisema figo zote ziko sawa,ini ipo sawa kibofu cha mkojo pia hakina tatizo.

Kuna dawa walinipa za kutumia for 10 days nikimaliza nirudi tena niliporudi kwa sababu sikuwa na mambadiliko yoyote wakanibadilishia dawa. Nazo nikameza zilipoisha sikuwa na nafuu ikabidi niende hospital binafsi huko wakaniambia nina U.T.I nikachoma sindano za tano za power cafe.

Likazuka lingine la kupata maumivu ya kichwa na kuchemka mwili hasa ikifika mida ya saa sita za mchana. Baada ya kumaliza zile sindano ikabidi niende tena hospital safari hii walinipima typhoid na Malaria na U.T.I na vyote walinikuta navyo tena so wakaniandika dawa ambayo inamchanganyiko wa kutibu typhoid na U.T.I ila jina la hiyo siikumbuki vizuri.

Sasa dawa nimemaliza naona hali bado haijakaa sawa maumivu ya kwenye mbavu yapo vile vile na hizi homa nazo ikifika ile mida tu nakuwa mahututi ila haya maumivu ya mbavu nipiga myao ( yawning ) ndio yauma zaidi.

Naombeni msaada wenu wakuu hospital ipi inaweza ikawa msaada mzuri zaidi au ni dawa ipi naweza nikatumia ili niwe sawa kwa sasa hivi nimehamishia makazi yangu jijini Dar es salaam nipo maeneo ya Mbagala Zakhem
naomb sana ukipata matibabu uniambie na mm tatizo ni hilo hilo kama lako please nakuomba namb yang ni 0759 124940 mm nimehangaika sana kichwa na mwili kuchemka acha kabisa juzi nimetoka kuchoma sindano za thefriaxone tano lkn wapi
 
Kidney stones. ...ziache tu kunywa maji mengi na punguza pombe. ..pole sana. .
 
Back
Top Bottom