Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Ili padri apewe daraja la uaskofu sharti apewe jimbo. Hivyo askofu ni askofu wa jimbo fulani a.k.a jimbo mahalia.
Askofu Kilaini ni askofu msaidizi wa kanisa katoliki jimbo la Bukoba.
Ukitaka kutoa msaada wako wa fedha au vifaa, unatoa kwa kanisa katoliki jimbo la Bukoba. Kama ni hundi au Telegraphic Transfer a.k.a TT inatumwa kwenye akaunti ya kanisa katoliki jimbo la Bukoba au kama ni jimbo la Dar Es Salaam basi unatuma huko.
Na hata kama unataka kutoa sadaka ya kiwanja, lazima itafanyika transfer kutoka kwenye jina lako na kuwekwa kwenye jina la kanisa. Hauwezi toa sadaka yako kwenda kwa askofu Kilaini au askofu fulani. Huo ndiyo utaratibu wa kanisa katoliki.
Bunge katika mjadala wake, litamke waziwazi kwamba hawa maaskofu wafunguliwe mashtaka ya jinai. Kufanya hivyo siyo kuingilia mhimili wa mahakama kama Mheshimiwa Makinda anavyodai. Tunaona kwamba ni innocent ila tunawapeleka mahakamani ili mahakama either iwa exonerate au iwa convict.
Jambo lingine nikwamba, kanisa langu katoliki Tanzania, halina tena usafi tena wa kuinyoshea kidole serikali sababu watumishi wa serikali wasio waaminifu wanashirikiana na maaskofu wasio waaminifu kuhujumu mali ya umma. Zile pesa za Escrow ni za umma. Kama siyo za umma, kwanini kampuni binafsi inawagawia fedha viongozi wa umma? Ni ujira kwa kazi gani?
Huko nyuma Kilaini aliwahi kupelekwa nje kutibiwa kwa pesa za kiongozi wa serikali. Je kanisa katoliki lilikosa pesa ya kumtibia askofu huyu. Kanisa lijichungeze. Je nikwanini maaskofu hawa waliopokea pesa za ESCROW wote ni wale tu wasaidizi wa Pengo? Japo Kilaini kahamishwa lakini katokea kwa Pengo. Huyu mwingine ni msaidizi wa Pengo. Je Pengo kwanini anapendekeza wasaidizi wenye kasoro kimaadili?
Kanisa katoliki Tanzania tumechafuka
Askofu Kilaini ni askofu msaidizi wa kanisa katoliki jimbo la Bukoba.
Ukitaka kutoa msaada wako wa fedha au vifaa, unatoa kwa kanisa katoliki jimbo la Bukoba. Kama ni hundi au Telegraphic Transfer a.k.a TT inatumwa kwenye akaunti ya kanisa katoliki jimbo la Bukoba au kama ni jimbo la Dar Es Salaam basi unatuma huko.
Na hata kama unataka kutoa sadaka ya kiwanja, lazima itafanyika transfer kutoka kwenye jina lako na kuwekwa kwenye jina la kanisa. Hauwezi toa sadaka yako kwenda kwa askofu Kilaini au askofu fulani. Huo ndiyo utaratibu wa kanisa katoliki.
Bunge katika mjadala wake, litamke waziwazi kwamba hawa maaskofu wafunguliwe mashtaka ya jinai. Kufanya hivyo siyo kuingilia mhimili wa mahakama kama Mheshimiwa Makinda anavyodai. Tunaona kwamba ni innocent ila tunawapeleka mahakamani ili mahakama either iwa exonerate au iwa convict.
Jambo lingine nikwamba, kanisa langu katoliki Tanzania, halina tena usafi tena wa kuinyoshea kidole serikali sababu watumishi wa serikali wasio waaminifu wanashirikiana na maaskofu wasio waaminifu kuhujumu mali ya umma. Zile pesa za Escrow ni za umma. Kama siyo za umma, kwanini kampuni binafsi inawagawia fedha viongozi wa umma? Ni ujira kwa kazi gani?
Huko nyuma Kilaini aliwahi kupelekwa nje kutibiwa kwa pesa za kiongozi wa serikali. Je kanisa katoliki lilikosa pesa ya kumtibia askofu huyu. Kanisa lijichungeze. Je nikwanini maaskofu hawa waliopokea pesa za ESCROW wote ni wale tu wasaidizi wa Pengo? Japo Kilaini kahamishwa lakini katokea kwa Pengo. Huyu mwingine ni msaidizi wa Pengo. Je Pengo kwanini anapendekeza wasaidizi wenye kasoro kimaadili?
Kanisa katoliki Tanzania tumechafuka