Maandishi ya mwisho ya Ben Saanane

falcon mombasa

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
9,159
9,241
Maandishi ya Ben Saanane


Mwisho wa kumnukuu

Je, huenda post hii ndio ilikuwa sababu ya kutoonekana kwake hadi leo?
 
Mwambieni aache kuwa nocturnal Mungu aliumba mchana na usiku makusudi ili tufanye shughuli mchana na tupumzike usiku....mambo ya kujificha mapangoni kama popo na kutoka giza likiingia sio mpango huo.
 
naona ben saa8 ana (i hope and wish he is alive and well) uwezo mkubwa wa kuandika kuliko kufikiri. ingekua kinyume chake tusingekua tunasoma hekaya za kusadikika kama za abunuasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…