Usimtetee, hakusema maandamano ya CHADEMA, bali amesema maandamano kwa ujumla wake, kwa hiyo hata yale ya ccm wanayofanya asubuhisubuhi nchi nzima wenyewe mkiyaita ya mshikamano ni ushamba mtupu! (Rc wenu wenyewe huyo!)
Maandamano ya Chadema ni ushamba.
...Kuwa mtetezi wa ushetani wa magamba ni kazi kwelikweli, inabidi waongeze dau buku 7 hazitoshi.Maandamano ya Chadema ni ushamba.
Tuondolee propaganda zenu CCM za kufundishwa na TISS. Maandamano yenye tija yakoje? Yaliyotokea Tunisia, Moroco, Misri hayakuleta tija?ni kweli kabisa maandamano yasiyi na tija ni USHAMBA MKUBWA
ingekuwa ni ajabu kweli muajiriwa wa airtel aisifu vodacom hadharani.
Zikiwa zimebaki takribani saa kazaa tu kuwasili kwa kiongozi wa taifa la Marekani bwana Barack Obama, mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, amesema kuandamana na kubeba mabango ni ushamba.
ameyasema hayo katika kipindi maalum kilichokua kikirushwa na TBC, akaenda mbali zaidi kwa kusema maandamano yeyote yale kimsingi hua hayana maana yeyote ile, kwa sababu hata kama ukiandamana haitakusaidia zaidi ya kupoteza muda wako tu.
Nimejiuliza maswali mengi sn juu ya maelezo ya mkuu wa mkoa na tafsili zake juu ya hoja nzima ya maandamano, zipo sababu nyingi ambazo zinapelekea watu kuandama, hata huko anakotokea Obama kuna baadhi ya watu tumeona waliandamana kupinga ujio wa Obama nchini mwao, sasa kwa mujibu wa kauli za mkuu wa mkoa kwa niaba ya serikali anataka atulazimishe watanzania wote tukubaliane na matakwa ya serikali hata kama ni mabaya.
NAWASILISHA.
Hivi mkuu wa mkoa kazi yake ni nini?
Naona Pinda amewafundisha watu wa serikalini wote kuhalifu sheria bila woga. Kwahiyo katiba ya Tanzania ni Ushamba!...my hairs!
Kulewa madaraka huku, na kujiona kuwa proletariet class haina maana na ni ya KUPIGWA TU!
WAPIGWE TU!
yeye ni sawasawa na sindano inatiwa uzi lakini hailalamikiZikiwa zimebaki takribani saa kazaa tu kuwasili kwa kiongozi wa taifa la Marekani bwana Barack Obama, mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, amesema kuandamana na kubeba mabango ni ushamba.
ameyasema hayo katika kipindi maalum kilichokua kikirushwa na TBC, akaenda mbali zaidi kwa kusema maandamano yeyote yale kimsingi hua hayana maana yeyote ile, kwa sababu hata kama ukiandamana haitakusaidia zaidi ya kupoteza muda wako tu.
Nimejiuliza maswali mengi sn juu ya maelezo ya mkuu wa mkoa na tafsili zake juu ya hoja nzima ya maandamano, zipo sababu nyingi ambazo zinapelekea watu kuandama, hata huko anakotokea Obama kuna baadhi ya watu tumeona waliandamana kupinga ujio wa Obama nchini mwao, sasa kwa mujibu wa kauli za mkuu wa mkoa kwa niaba ya serikali anataka atulazimishe watanzania wote tukubaliane na matakwa ya serikali hata kama ni mabaya.
NAWASILISHA.
Zikiwa zimebaki takribani saa kazaa tu kuwasili kwa kiongozi wa taifa la Marekani bwana Barack Obama, mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, amesema kuandamana na kubeba mabango ni ushamba.
ameyasema hayo katika kipindi maalum kilichokua kikirushwa na TBC, akaenda mbali zaidi kwa kusema maandamano yeyote yale kimsingi hua hayana maana yeyote ile, kwa sababu hata kama ukiandamana haitakusaidia zaidi ya kupoteza muda wako tu.
Nimejiuliza maswali mengi sn juu ya maelezo ya mkuu wa mkoa na tafsili zake juu ya hoja nzima ya maandamano, zipo sababu nyingi ambazo zinapelekea watu kuandama, hata huko anakotokea Obama kuna baadhi ya watu tumeona waliandamana kupinga ujio wa Obama nchini mwao, sasa kwa mujibu wa kauli za mkuu wa mkoa kwa niaba ya serikali anataka atulazimishe watanzania wote tukubaliane na matakwa ya serikali hata kama ni mabaya.
NAWASILISHA.