Maandamano CHADEMA na Escape from Sobibor

Babu zako na bibi zako wangekuwa wabinafsi kama wewe usingeikuta hii nchi unayojivunia wewe kungu.ru.
 
Hakika hiyo ndiyo taswira yetu kama wana was nchi tena itatugharimu iwapo tutakuwa kama mateka waliosimama bila kujishughulisha kutoroka katika #Sobibor
 
Watatumia kila njia lakini hawatashindana na nguvu ya umma.

Waanze kukimbia nchi.
 

Mkuu yote ni sawa tu tofauti ni kwamba hayo ya mabomu na virungu yanaonekana kwa uwazi lakini kuna mabomu ya umasikini, magonjwa, ukosefu wa huduma muhimu za kijamii, njaa na kuondolewa kwenye makazi kwa kisingizio cha kuwapa ardhi wawekezaji nk nk. Haya yote ndugu mwandishi uliyemjibu ameyaeleza ki falsafa mno na ni kweli tupu.
 

Ndugu wa Mbowe na Dr Slaa ni wanachama wote, wapenzi wote na wote wanaowaunga mkono katika harakati za kuikomboa hii nchi kutoka kwa mkoloni,jitu jeusi tiii linaloitwa CCM na serikali yake dhalimu!!.

Hata Yesu Kristo alisema, ndugu na mama zake ni wale wote wanaotii na kuheshimu maagizo ya Mungu wala si wale walio mzaa na wale waliozaliwa naye tumbo moja!!

Amka wewe,twende acha umbumbu na intimidations zako!!
 
hiyo ni kati ya sinema chache zilizonipa ujasiri huu nilionao leo .
 
Hii nimeipenda mkuu!! nakumbuka vile vile wale manokoa wa wajerumani kule Sorbibor walivyoshughulikiwa kabla ya kuwavaa wajerumani na askari wake!! Vivyo hivyo makuwadi wa mafisadi na wasaliti liwe ndio target yetu kabla ya kupambana na CCM!!
 
Hii nimeipenda mkuu!! nakumbuka vile vile wale manokoa wa wajerumani kule Sorbibor walivyoshughulikiwa kabla ya kuwavaa wajerumani na askari wake!! Vivyo hivyo makuwadi wa mafisadi na wasaliti liwe ndio target yetu kabla ya kupambana na CCM!!

nimeipenda sana hii mkuu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…