Maandalizi ya Mkutano wa Magufuli

Maandalizi ya Mkutano wa Magufuli

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Washabiki wakijiandaa kwenda mkutano wa Magufuli. Malori yamechelewa kufika ila yanasubiriwa. Viroba na Laga vinafanya mambo.
 

Attachments

  • 1444832734791.jpg
    1444832734791.jpg
    24.4 KB · Views: 1,332
Hawa ndo wale mapumbavu na marofa wasio jitambua wanataka nini. Wameshapewa vijisenti sasa wanavipukuta hapa. Kesho baada ya uchaguzi hali itazindi kua mbaya kwasababu walisha kula tayari hela yao.
 
Bia Bure
Fulana bure
Viroba bure
Kofia bure
Kanga bure
 
Ila jamani Wakina mama wanadanganyika sana. Nimegundua akina mama ni wateja wa zuri sana na waaminifu kwa ccm. Tena mabar maid ndio wako front ile mbaya na wanapenda sana kushadadia hadi hasira. Hawa ni vikwazo kwa mabadiliko.
 
Washabiki wakijiandaa kwenda mkutano wa Magufuli. Malori yamechelewa kufika ila yanasubiriwa. Viroba na Laga vinafanya mambo.

Eti hawa ndio watuamulie hatma ya Taifa letu Tanzania? Eeh Mungu utunusuru. Kwa hizo bia moja moja walizopewa hapo ndio makelele utakayoyasikia baada ya Diamond na Yamoto Band kumwaga sera
 
Hahahaa yaani ccm imekua ya akina wema sepetu na kusomba vichaa kwenda kwenye mikutano yao na wenye akili ni lazima wajitoe ufahamu kwa kunywa viroba ili wahidhurie mikutano ya ccm.. Chama kimekufa
 
Hayo ni matumizi ya posho za bure wanapewa.
 
Back
Top Bottom