dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,171
- 3,087
Maranyingi majina ya watu na vitu huwa vina akisi uhalisia hivyo tukijua maana ya neno Tanganyika, watanganyika hawatotumbua kwani tutajua asili yao.
Jina la Tanganyika ni mkusanyiko wa maneno mawili
1. TANGA- Ni kuhangaika, kusumbuka, na kutotulia bila ya lengo maalum.
2. NYIKA- Ni mapori msitu mikubwa ambayo Kwa sehemu kubwa huwa inatawaliwa na nyasi.
Hivyo asili ya watanganyika ni watu wakuhangaika na kuhemea misituni bila ya kuwa na malengo na ukiangalia makabila mengi ya watanganyika wapo hivyo kuhama hama na kusumbuka na kutanga na nyika, kuhemea chakula, kutafuta maji malisho au hata bila sababu za msingi.
Hivyo Kwa asili hii watanganyika (wengi wao) ni watu wababaishaji, wavurugaji hawana uaminifu wasioweza kujisimamia.
Wakitawaliwa Kwa mujibu wa Sheria watapiga kelele kwamba wana Rais DHAIFU hivyo wanataka Rais mkali.
Akija mkali DIKTETA MVUNJA katiba hatufai hasimami Sheria.
Akija Rais anayejali, anawapa haki na stahiki zao watapiga kelele Wazanzibar wanauza nchi.
Nyinyi asili yenu ni KUTANGA NA NYIKA, waachieni watawala wawatawale ili mjikomboe sasa nongwa za nini?
Mtaendelea kuwepo katika UFUKARA mpaka lini wakati rasilimali zenu hamna uwezo wakuzisimamia? Uwekezaji WA DP WORLD ndio mwanzo wa kutotanga tena kwani mnafaidishwa Kwa rasilimali mlizo nazo ambazo hamuwezi kuzisimamia.
Wazungu si mmewaleta katika sekta ya madini jiulizeni mmepata faida gani zaidi ya mahandaki na umasikini?
DP WORLD NDIO SULUHISHO KWA UOZO WA BANDARINI.
Acheni kutanga.
Jina la Tanganyika ni mkusanyiko wa maneno mawili
1. TANGA- Ni kuhangaika, kusumbuka, na kutotulia bila ya lengo maalum.
2. NYIKA- Ni mapori msitu mikubwa ambayo Kwa sehemu kubwa huwa inatawaliwa na nyasi.
Hivyo asili ya watanganyika ni watu wakuhangaika na kuhemea misituni bila ya kuwa na malengo na ukiangalia makabila mengi ya watanganyika wapo hivyo kuhama hama na kusumbuka na kutanga na nyika, kuhemea chakula, kutafuta maji malisho au hata bila sababu za msingi.
Hivyo Kwa asili hii watanganyika (wengi wao) ni watu wababaishaji, wavurugaji hawana uaminifu wasioweza kujisimamia.
Wakitawaliwa Kwa mujibu wa Sheria watapiga kelele kwamba wana Rais DHAIFU hivyo wanataka Rais mkali.
Akija mkali DIKTETA MVUNJA katiba hatufai hasimami Sheria.
Akija Rais anayejali, anawapa haki na stahiki zao watapiga kelele Wazanzibar wanauza nchi.
Nyinyi asili yenu ni KUTANGA NA NYIKA, waachieni watawala wawatawale ili mjikomboe sasa nongwa za nini?
Mtaendelea kuwepo katika UFUKARA mpaka lini wakati rasilimali zenu hamna uwezo wakuzisimamia? Uwekezaji WA DP WORLD ndio mwanzo wa kutotanga tena kwani mnafaidishwa Kwa rasilimali mlizo nazo ambazo hamuwezi kuzisimamia.
Wazungu si mmewaleta katika sekta ya madini jiulizeni mmepata faida gani zaidi ya mahandaki na umasikini?
DP WORLD NDIO SULUHISHO KWA UOZO WA BANDARINI.
Acheni kutanga.