1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Ninashindwa kumuelewa huyu kocha sasa hivi, mechi ilionekana kuwa ngumu tangu mwanzo, tulikuwa tunacheza na Yanga na Azam ili tufungwe kesho watuzomee bandarini, unampanga Kanoute, Sarr na Ngoma washindane na akina Abuya, Tchakei na Morrice na Kaseke?
SIMBA ilionekana kupoteana tangu awali, yaani leo Simba inazidiwa mambo ya ushirikina na Singida?
Tuliwaambia tangu juzi wana akina Peter manyika wana Nizzar Halfan, wana Deus Kaseke hao wote ni wanachama wa Yanga, wana mapenzi nayo, tunawaambia jaman hawa jana walikuwa na watu wa utopolo msidharau gemu nyie mnatuona mahanithi, sasa Benchika unamuingiza huyo dogo mzanzibar ktk mechi tafu namna hiyo kweli?
Si afadhali ungemuingiza Chasambi lakini dogo huyo ndio kwanza anaanza we Benchika unajifanyia tu maamuzi, na viongozi mnamuangalia tu, huyo Benchika hana muda Simba.
SIMBA ilionekana kupoteana tangu awali, yaani leo Simba inazidiwa mambo ya ushirikina na Singida?
Tuliwaambia tangu juzi wana akina Peter manyika wana Nizzar Halfan, wana Deus Kaseke hao wote ni wanachama wa Yanga, wana mapenzi nayo, tunawaambia jaman hawa jana walikuwa na watu wa utopolo msidharau gemu nyie mnatuona mahanithi, sasa Benchika unamuingiza huyo dogo mzanzibar ktk mechi tafu namna hiyo kweli?
Si afadhali ungemuingiza Chasambi lakini dogo huyo ndio kwanza anaanza we Benchika unajifanyia tu maamuzi, na viongozi mnamuangalia tu, huyo Benchika hana muda Simba.