Maalim Seif: Dalili zinaonyesha Magufuli ni Dikteta

mpk

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
3,115
3,864
Akihojiwa na VOA amesema watanzani wasipokuwa makini watajikuta chini ya utawala wa kiimla.

Amesema rais hataki kukosolewa, hataki kuambiwa anakosea jambo lolote anajiona sahihi kwa kila kitu na washauri wake amewatisha wanamshauri anachotaka kusikia.

Amesema mwanzo alianza vizuri na watu walimwani lakini sasa chumvi imezidi.

Amesema anapenda sifa akitolea mfano wa ukusanyaji kodi kwamba mwezi Mei mapato yalishuka mpaka wakaitwa wafanyabiashara kuikopesha serikali.
 
Kinachonifurahisha ni kuwa, kuna kundi la watu linaokota kila kitu kinachofurahisha hisia zao kuhusu utawala wa Rais Magufuli.

Hii dhana ya kusema hata shetani tutamtumia ili kufika Ikulu bado haijawatoka baadhi ya watu.

Eti mapato yalishuka mpaka serikali ikaita wafanyabiashara ili waikopeshe serikali.

Tanzania kuna vituko vya wanasiasa!

Huyu Maalim Seif alisema ameandika barua zaidi ya sita akimuomba Rais Magufuli wakutane ili amsaidie kwenye kadhia ya Zanzibar. Kwa hiyo wakati anaandika barua hakufahamu kama anayetaka kukutana naye ni dikteta.
 
Nyani haoni kundule, yeye chama alimdhulumu mapalala akajimilikisha leo kaonyesha udikteta wake kwa kumkataa lipumba maana yeye CUF ndio kauli wahedi
 
Kinachonifurahisha ni kuwa, kuna kundi la watu linaokota kila kitu kinachofurahisha hisia zao kuhusu utawala wa Rais Magufuli.

Hii dhana ya kusema hata shetani tutamtumia ili kufika Ikulu bado haijawatoka baadhi ya watu.

Eti mapato yalishuka mpaka serikali ikaita wafanyabiashara ili waikopeshe serikali.

Tanzania kuna vituko vya wanasiasa!

Huyu Maalim Seif alisema ameandika barua zaidi ya sita akimuomba Rais Magufuli wakutane ili amsaidie kwenye kadhia ya Zanzibar. Kwa hiyo wakati anaandika barua hakufahamu kama anayetaka kukutana naye ni dikteta.
We una taarifa za serikali kuliko Maalim Seif?
 
Kinachonifurahisha ni kuwa, kuna kundi la watu linaokota kila kitu kinachofurahisha hisia zao kuhusu utawala wa Rais Magufuli.

Hii dhana ya kusema hata shetani tutamtumia ili kufika Ikulu bado haijawatoka baadhi ya watu.

Eti mapato yalishuka mpaka serikali ikaita wafanyabiashara ili waikopeshe serikali.

Tanzania kuna vituko vya wanasiasa!

Huyu Maalim Seif alisema ameandika barua zaidi ya sita akimuomba Rais Magufuli wakutane ili amsaidie kwenye kadhia ya Zanzibar. Kwa hiyo wakati anaandika barua hakufahamu kama anayetaka kukutana naye ni dikteta.
Afu kibaya zaidi kila mtu amekuwa ni mkosoaji ndani ya nchi hii as if wao ni bora zaidi wasiokuwa na MAPUNGUFU.....i am glad Dr MAGUFULI asikilizi pumba zao yeye ni kupiga kazi tuh.....Hatupo zama za mazoea
 
Kinachonifurahisha ni kuwa, kuna kundi la watu linaokota kila kitu kinachofurahisha hisia zao kuhusu utawala wa Rais Magufuli.

Hii dhana ya kusema hata shetani tutamtumia ili kufika Ikulu bado haijawatoka baadhi ya watu.

Eti mapato yalishuka mpaka serikali ikaita wafanyabiashara ili waikopeshe serikali.

Tanzania kuna vituko vya wanasiasa!

Huyu Maalim Seif alisema ameandika barua zaidi ya sita akimuomba Rais Magufuli wakutane ili amsaidie kwenye kadhia ya Zanzibar. Kwa hiyo wakati anaandika barua hakufahamu kama anayetaka kukutana naye ni dikteta.

....amesema mwanzo alianza vizuri,lakini sasa ndio kaongeza chumvi!

halafu wewe unaesema hiyo dhana ya kumtumia hata shetani kufika ikulu unawaona hao wanaoamini wajinga!, vipi wewe unaemsifia bosi wako kwa kila kitu ndio una akili sio?!
 
....amesema mwanzo alianza vizuri,lakini sasa ndio kaongeza chumvi!

halafu wewe unaesema hiyo dhana ya kumtumia hata shetani kufika ikulu unawaona hao wanaoamini wajinga!, vipi wewe unaemsifia bosi wako kwa kila kitu ndio una akili sio?!
Mwanzo unaanzia wapi na kuishia wapi?

Kama dhana ya kumtumia shetani ingekuwa inalipa natumaini kwa sasa wale waliyoitumia wangekuwa Ikulu.
 
Kumbe zile figure wana cook? Na bado waliambiwa meli hakuna.....wakasema zipo! Itashuka sana hadi ifike 800bil ndio ataelewa akubali kushauriwa! Mwenzake aliweka auto pilot baada set kila kitu kiende business as usual akamuona hana PhD! Sasa ataelewa nini maana yake! Aibu sana!
 
Akihojiwa na VOA amesema watanzani wasipokuwa makini watajikuta chini ya utawala wa kiimla.

Amesema rais hataki kukosolewa, hataki kuambiwa anakosea jambo lolote anajiona sahihi kwa kila kitu na washauri wake amewatisha wanamshauri anachotaka kusikia.

Amesema mwanzo alianza vizuri na watu walimwani lakini sasa chumvi imezidi.

Amesema anapenda sifa akitolea mfano wa ukusanyaji kodi kwamba mwezi Mei mapato yalishuka mpaka wakaitwa wafanyabiashara kuikopesha serikali.

Yeye Maalim ndio dikteta anaiendesha CUF kama Saccoss ya bodaboda.Analazimisha awe raisi wa Zanzibar miaka nenda miaka rudi.kamshindwa Dr Shein sasa kaanza kwingine,anamaliza bure ruzuku ya CUF kwenda Marekani kusema tu tutakuwa chini ya utawala wa kiimla si angetumia tu Skype aongee na Shaka Ssali baasi ,Marekani katu haitatuamulia mambo yetu.
 
Akihojiwa na VOA amesema watanzani wasipokuwa makini watajikuta chini ya utawala wa kiimla.

Amesema rais hataki kukosolewa, hataki kuambiwa anakosea jambo lolote anajiona sahihi kwa kila kitu na washauri wake amewatisha wanamshauri anachotaka kusikia.

Amesema mwanzo alianza vizuri na watu walimwani lakini sasa chumvi imezidi.

Amesema anapenda sifa akitolea mfano wa ukusanyaji kodi kwamba mwezi Mei mapato yalishuka mpaka wakaitwa wafanyabiashara kuikopesha serikali.
Maalim ni mtu wa Ajabu sana kwani yeye mwenyewe alivyokwenda ikulu kumtembelea rais[ na malalamiko yake] alipotoka nje ya kikao alimpamba sana JPM ambaye sasa anamuona kuwa anachembechembe za udikteta.-Au kwa vile hakukubaliana na utashi wake wa kukataa kuingia kwenye marudio ya uchaguzi??????
 
Back
Top Bottom