Kuna baridi kali sana, ukienda huko kama umezoea Africa unakuta kwa baridiHivi hiyo Nchi haina Wahamiaji?!
And largely unenforcedNa porn (pornography) imefungiwa Iceland (ni illegal).
Tumekukosea nini? ππWeusi ni asilimia ngapi?
Lete ukweli wako mkuuHuo ni uongo nguvu kazi ni watu, ushuru kwa watu laki tatu then elimu umeme huduma za afya iwe bure na bado serikali ilipe wafanyakazi
Hamia..πNimeipenda iyo
Hata Dubai kwa IDDY S MHANDO napo huwa hawafungi milango ya nyumba au kuondoa funguo ndani ya magariIceland ni Nchi ambayo ni Kisiwa kinachopatikana kaskazini mwa Dunia katikati ya Bahari mbili za Antarctic na Arctic. Mji wake Mkuu ni Reykjavik.
Nchi hii ina idadi ya watu wanaofikia 332,529 kwa takwimu za hivi Karibuni. Ni Nchi iliyokuwa koloni la Denmark Hadi tarehe 1/desemba/1918.
Nchi hii ina sifa adhimu zifuatazo:-
β Elimu na huduma za afya ni Bure.
β Hakuna magereza.
β Hakuna Jeshi. Ila ni mwanachama wa jumuiya za kijeshi za kimataifa kama NATO na OCSE
β Umeme ni Bure
β Watu Wala hawafungii magari ndani na hata nyumba zao Huwa hawalazimiki kuzifunga.
β Ndio Nchi pekee Duniani ambayo watu wake hupiga kura kwa mtandao (on-line).
View attachment 3016544
inafsi sijawahi kuombea viongozi wa africa isee kuwaombea tu enyewe unaweza kupata dhambi.Viongozi wanawatendea haki wananchi sio huku kwetu Afrika kumekuwa kama jehanamu, viongozi wanawalundikia mzigo wa kodi halafu wao wanaishi kama wapo peponi! Uwa nashangaa sana hata wanapokufa tunawaombea eti wakapumzike kwa amani wakati enzi ya uhai wao wametesa sana watu!
Ubora wa uchumi mzuri haupimwi kwa population,Canada, Netherlands,Japan,South Korea,USA Uchumi wao mzuri ni kwa sababu ya population ndogo?Population haifiki laki 5 unategemea nn.